Admin

Watuhumiwa kulinda bangi wanazolima kwa ‘bunduki’

Dodoma. Mamlaka ya Kuthibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya (DCEA), imewakamata watu 18 kwa kuhusika na kilimo cha bangi huku wawili kati yao wakikamatwa na magobore waliyokuwa wakiyatumia kulinda mashamba hayo. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Machi 3, 2024 na Kamishna Msaidizi wa DCEA, Kanda ya Kati Mzee Kasuwi wakati akikabidhi silaha mbili kwa Kamanda…

Read More

Kimbunga Hidaya chapandisha bei ya samaki Mtwara, Lindi

Mtwara/Lindi. Athari za Kimbunga Hidaya zimeanza kuonekana katika mikoa ya Mtwara na Lindi baada ya wavuvi wengi kushindwa kufanya kazi na kusababisha bei ya samaki kupanda. Wavuvi wanasema hawangeweza kuingia baharini kwa tayari kuna upepo mkali na mvua za rasharasha zilizoanza kunyesha. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa Mei 3, 2024, Mwenyekiti wa Wavuvi katika…

Read More

Kimbunga, mvua kubwa mikoa 20 yatarajiwa usiku wa leo

Dar es Salaam. Wakati hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya mikoa ya ukanda wa Pwani na Kusini unaosababishwa na kimbunga Hidaya, Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imesema mvua zinatarajia kunyesha katika maeneo mbalimbali kuanzia usiku wa leo. Taarifa ya TMA ya saa 24 zijazo imeonyesha mikoa 20 inatarajiwa kupata mvua kuanzia…

Read More

Kesi inayowakabili watumishi 16 wa jiji la Dar yaiva

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa taarifa na nyaraka muhimu zilizowasilishwa Mahakama Kuu, kuhusiana na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayowakabili watumishi 16 wa Jiji hilo, zimeshasajiliwa. Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashitaka 142 yakiwamo ya kuongoza genge la uhalifu, matumizi mabaya ya madaraka na…

Read More

Mgunda afunguka kuhusu Kibu  | Mwanaspoti

BAADA ya minong’ono kuwa mingi kufuatia kukosekana kwa Kibu Denis katika nchezo wa Ligi Kuu Bara ambao Simba imecheza dhidi ya Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Azam Complex leo jioni, kaimu kocha mkuu wa Wekundu hao wa Msimbazi, Juma Mgunda ametoa neno. Mgunda ambaye ameiongoza Simba kupata ushindi wake wa kwanza katika ligi amesema Kibu…

Read More

Uongozi Kariakoo, wafanyabiashara wavutana | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati mchakato wa kurejesha wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam ukikaribia, baadhi yao wametoa malalamiko kuwa hawajashirikishwa katika suala hilo. Wakati wafanyabiashara hao wakitoa malalamiko hayo, uongozi wa Soko la Kariakaoo umesema ingekuwa vigumu kuwashirikisha katika kila hatua wakati soko likiwa katika hatua ya ujenzi. “Kuzungumza na waandishi…

Read More