Admin

Mwafaka mgomo wa daladala Tanga – Horohoro Jumatatu

Tanga. Madereva wa mabasi madogo yanayofanya safari zake kati ya Tanga mjini na Horohoro Wilaya ya Mkinga waliogoma jana Mei 2, 2024 kusafirisha abiria, leo Ijumaa Mei 3, 2024 wameendelea na kazi kwa makubaliano ya kutoza Sh3, 500 hadi Jumatatu, pande tatu zitakapokaa kujadiliana. Madereva hao walikuwa wanapinga uamuzi wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini…

Read More

Bodi ya Ligi: Tumechukua  tahadhari Kimbunga Hidaya

MWANDISHI WETUBODI ya Ligi Tanzania (TPLB) imesema imechukua tahadhari muhimu juu ya tishio la kimbunga kinachoendelea kinachojulikana kwa jina la Hidaya. Ofisa Habari wa TPLB, Karim Boimanda amesema kufuatia taarifa ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) juu ya tishio la kimbunga hicho kwa upande wao wamechukua hatua kuhakikisha mechi zinazoendelea zinachezwa kwa usalama…

Read More

Namna majitaka yalivyogeuzwa fursa Zanzibar

Unguja. Miaka michache iliyopita, Wazanzibari walikumbwa na maradhi ya mlipuko kama kipindupindu kutokana na mazingira kutokuwa safi. Mwaka 2016 watu 45 walipoteza maisha na 3,000 waliugua kisiwani humo. Hata hivyo, tangu kipindi hicho hakujawahi kushuhudiwa kasi ya ugonjwa huo baada chanjo iliyotolewa na Wizara ya Afya, ikiwa ni msaada kutoka mradi wa Shirika la Umoja…

Read More

Zahera: Matampi ilibaki kidogo acheze Yanga

Kipa wa Yanga Djigui Diarra amepata mshindani wa maana kwenye vita ya ‘cleansheet’ kwenye ligi ambaye ni kipa wa Coastal Union, Ley Matampi, ambaye ni gumzo kwa sasa kutokana na kazi bora. Sasa kocha aliyemleta nchini Mwinyi Zahera amesimulia sakata la usajili wake. Kocha huyo ambaye kabla ya kutua Namungo alitokea Coastal Union anasema; “Tulipokuwa…

Read More

Benki ya NBC Yazindua Huduma Maalum Kuwashika mkono Wastaafu

Na Mwandishi Wetu Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa ajili ya wastaafu inayofahamika kama “Akaunti ya Wastaafu” ama “Pensioners account” ikilenga kutoa huduma za kibenki zenye kutoa vipaumbele kwa kundi hilo la kijamii. Kupitia huduma hiyo iliyozinduliwa mapema hii leo jijini Dar es Salaam,  pamoja na faida nyingine  inatoa fursa ya mikopo mikubwa hadi…

Read More

Atolewa uvimbe wa kilo tano tumboni alioishi nao miaka 10

Geita. “Nimezaa watoto 11 lakini mtoto wangu wa mwisho niliyemzaa mwaka 2010 nilikuwa nipoteze maisha, maana nilitokwa na damu nyingi sana, nikazimia mara tatu na wakati wote wa mimba damu ilikuwa inavuja, sikujua tatizo.” Haya ni maneno ya Eveline Paulo, mkazi wa Biharamulo mkoani Kagera aliyetolewa uvimbe wenye uzito wa kilo tano tumboni. Uvimbe huo…

Read More

Majitaka yageuzwa fursa kutengeneza mbolea, gesi

Unguja. Miaka michache iliyopita, Wazanzibari walikumbwa na maradhi ya mlipuko kama kipindupindu kutokana na mazingira kutokuwa safi. Mwaka 2016 watu 45 walipoteza maisha na 3,000 waliugua kisiwani humo. Hata hivyo, tangu kipindi hicho hakujawahi kushuhudiwa kasi ya ugonjwa huo baada chanjo iliyotolewa na Wizara ya Afya, ikiwa ni msaada kutoka mradi wa Shirika la Umoja…

Read More

Kibu nje Simba ikiivaa Mtibwa Sugar

YUKO wapi Kibu Denis? Hilo ndilo swali ambalo mashabiki wa Simba wanajiuliza baada ya kuuwekwa wazi kikosi chao ambacho kitacheza mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar muda huu. Uvumi wa Kibu kuhusishwa na Yanga ndio sababu iliyowafanya mashabiki hao kuhoji kuhusu mshambuliaji huyo hapa Chamazi, kwenye Uwanja wa Azam Complex. Mashabiki hao…

Read More

Kwa nini vimbunga vingi hupewa majina ya kike?

Dar es Salaam. Ni jambo linalofikirisha pale unapokuta vimbunga vingi, dhoruba au tufani mara nyingi vinapewa majina ya binadamu, na zaidi yale ya kike. Hata kimbunga cha sasa, kinachotazamiwa kupiga katika pwani ya Bahari ya Hindi kusini mwa Tanzania kati ya Leo Mei 3 na Mei 6, 2024, kimeitwa Hidaya. Mbali na Hidaya, vipo vimbunga vingi…

Read More