
DCEA YAWASHIKILIA WATUHUMIWA KWA KUKUTWA NA SILAHA ZA MOTO NA DAWA ZA KULEVYA
Na Janeth Raphael -MichuziTv Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya Kanda ya kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora na Kigoma imefanya operesheni kwa kushirikiana na jeshi la polisi katika Wilaya ya Chamwino pamoja na Dodoma mjini, katika Wilaya ya Chamwino kata ya Sigala kijiji cha Izava pamoja na Dodoma Mjini Mamlaka…