Admin

Wanajeshi wa Urusi waingia kwenye kambi ya Marekani ya Niger – DW – 03.05.2024

Tuelekee huko nchini Niger ambako inaripotiwa kuwa wanajeshi wa Urusi wameingia kwenye kambi ya jeshi la anga inayokaliwa na wanajeshi wa Marekani, haya yanajiri baada ya serikali ya kijeshi ya Niger kuamua kuwatimua wanajeshi wa Marekani katika taifa hilo la Afrika Magharibi. Soma zaidi. Mamia waandamana Niger kushinikiza kuondoka kwa vikosi vya Marekani Kwa muda mrefu…

Read More

Makocha hawa watajwa kumrithi Benchikha Simba

BAADA ya kuondoka kwa Abdelhak Benchikha, timu ya Simba fasta imeanza mchakato wa kutafuta kocha mpya atakayerithi mikoba ya Mualgeria huyo ikipanga kukamilisha ishu hiyo kabla ya msimu huu kumalizika Mei 28, 2024. Kocha wa TP Mazembe, Lamine Ndiaye Mabosi wa Simba walikaa kikao baada ya kuondoka kwa Benchikha aliyesepa na wasaidizi wake Farid Zemit…

Read More

Rais Samia atoa Bilioni 5 kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja-Lindi

Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na madaraja. Mvua hizo katika baadhi ya maeneo zilikwamisha shughuli za maendeleo ya Wananchi, na hivyo kuifanya Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kufanya kila linalowezekana kurejesha mawasiliano ya barabara…

Read More

Yanga yapokea ofa mbili za Mzize Ulaya

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umethibitisha kupokea ofa kutoka katika timu za Ulaya ambazo zinataka kumnunua mshambuliaji Clement Mzize.  Ingawa hakuwa tayari kuzitaja timu ambazo zinamtaka mchezaji huyo, lakini Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema mbali na Azam FC wamepokea ofa kutoka timu ambayo inashiriki Ligi Kuu Russia na nyingine ya Israel.  “Ni kweli…

Read More