Admin

Wafanyakazi waidai STAMICO mishahara ya bilioni 1

WALIOKUWA wafanyakazi wa mgodi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) unaochimba makaa ya mawe katika kijiji cha Kapeta Kata ya Ikinga wilayani Ileje mkoani Songwe, wamemuomba uongozi wa kata hiyo kuwakumbusha STAMICO iwalipe fedha zao zaidi ya moja bilioni ambazo ni malimbikizo ya mishahara Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Awali katika kipindi cha miaka…

Read More

Mpina: Natimiza wajibu, sikwenda bungeni kucheza disko na mawaziri

Simiyu. Mbunge wa Jimbo la Kisesa (CCM), Luhaga Mpina amewajibu wanasiasa wanaosema hakuna maendeleo aliyofanya katika jimbo lake badala yake amesema  yeye hakutumwa bungeni “kucheza disco na mawaziri bali kufanya kazi”. Amewaonya wote wanaopambana naye kwamba wataishia kudhalilika kwa kuwa hawezi kucheka na waziri ambaye hatekelezi majukumu yake ipasavyo. Mpina ametoa kauli hiyo leo Mei…

Read More

Guede alivyopindua meza ya usajili Yanga

MABAO manane yametosha kubadili sehemu ya usajili wa Yanga baada ya mabosi wa timu hiyo kushtuka kwamba mshambuliaji Joseph Guede ana kitu miguuni na kichwani, na sasa ni miongoni mwa mastaa wanaobaki Jangwani. Awali, Guede alionekana kuwa na mwanzo mgumu katika kikosi cha kocha Miguel Gamondi, lakini kadri muda unavyokwenda ameonekana kubadili upepo wa mambo…

Read More

Mzozo kati ya Klopp na Salah watatuliwa..

Mkufunzi wa Liverpool Jürgen Klopp amesema kutoelewana kwake na fowadi Mohamed Salah wakati wa mechi ya wikendi iliyopita huko West Ham kumetatuliwa “kabisa”. Salah alizozana na meneja Jürgen Klopp wakati Liverpool ikitoka sare ya 2-2 kwenye Uwanja wa London Stadium Jumamosi. Klopp na Salah walionekana kutoelewana wakati mchezaji huyo akisubiri kutambulishwa kutoka benchi zikiwa zimesalia…

Read More

Mjue koala, mnyama anayelala saa 22 kwa siku

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha siku ya mnyama wa porini aitwaye koala leo Mei 3, jamii imesisitizwa kuhusu umuhimu wa kulala na utunzaji wa mazingira. Koala ni mnyama wa familia ya wombat ambaye kwa kawaida hupatikana nchini Australia. Wanajulikana kwa vichwa vyao vikubwa, masikio mafupi yenye manyoya na miili isiyo na mkia na wanachukuliwa…

Read More

TANZANIA’S MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS AND THE EAST AFRICAN COURT OF JUSTICE COMMIT TO IDENTIFYING AREAS OF COLLABORATION

East African Court of Justice, Arusha, Tanzania, 3rd May, 2024: The Tanzanian Minister of Constitutional and Legal Affairs, Hon. Amb. Dr. Pindi H. Chana, on Thursday paid a courtesy call on the Judge President of the East African Court of Justice (EACJ), Justice Nestor Kayobera. The meeting aimed to strengthen ties between Tanzania and the…

Read More