Admin

TMA: Kimbunga Hidaya kinaendelea kusogea, kuimarika

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) leo Ijumaa, Mei 3, 2024 saa 3:00 asubuhi imetoa taarifa ya kuimarika na kuendelea kusogea kwa Kimbunga Hidaya katika pwani ya Bahari ya Hindi. “Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “HIDAYA” kilichopo katika Bahari ya Hindi mashariki…

Read More

MIAKA 25 YA HUDUMA YA MTOTO WAZAZI WAPEWA NENO.

Wazazi na walezi wametakiwa kuwa karibu na watoto wao nyakati zote katika kuhakikisha wanakuwa na maadili mazuri ili kupunguza matukio ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Wito huo umetolewa na Diwani viti maalumu Tarafa ya Mbugwe Wilaya ya Babati Mkoani Manyara Bi Naomi Sangu Wakati wa Maadhimisho ya miaka 25 ya Huduma ya mtoto na…

Read More

CMA, TIC waingia makubaliano kupunguza migogoro ya wawekezaji, wafanyakazi

Dar es Salaam. Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) wameingia makubaliano ya ushirikiano katika kupunguza migogoro ili kuboresha mazingira kwa wawekezaji nchini Tanzania. Makubaliano hayo yamesainiwa jana Alhamisi Mei 2, 2024 jijini Dar es Salaam, katika kipindi ambacho TIC inajivumia ongezeko la wawekezaji katika sekta mbalibali nchini. Akizungumza wakati…

Read More

RAIS SAMIA ATOA BIL 5 KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA – LINDI

Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na madaraja. Mvua hizo katika baadhi ya maeneo zilikwamisha shughuli za maendeleo ya Wananchi, na hivyo kuifanya Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kufanya kila linalowezekana kurejesha mawasiliano ya barabara…

Read More

SERIKALI YATOA NENO KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO YA KIDIGITALI PAMOJA NA MIKOPO YENYE RIBA KUBWA.

SERIKALI imesema inafuatilia kwa karibu mwenendo wa utoaji wa mikopo kwa njia ya kidigitali iliyoidhinishwa na kwamba itakapobainika kuwa kuna ukiukwaji wa matakwa ya leseni ya utoaji wa mikopo hiyo hatua stahiki zitachukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwafutia leseni watoa huduma husika. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck…

Read More

WANANCHI WAHIMIZWA KUHAMA MAENEO HATARISHI

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. Wananchi wamehimizwa kuendelea kuchukua tahadhari na kuondoka katika maeneo hatarishi yenye viashiria vya kuathiriwa na maafa ili kuendelea kuwa na jamii salama na tulivu hasa katika kipindi hiki cha mvua zinazoendelea kunyesha nchini. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim…

Read More