
Makonda autaka mgodi kubadilisha maisha ya wana-Geita
MKUU wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuhakikisha fedha zinazotolewa na kampuni hiyo kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii (CSR) zinagusa na kubadilisha maisha ya wananchi wa mkoa wa Geita na Tanzania kwa ujumla. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mbali na kuipongeza GGML kwa kuja na…