Admin

Faini zatawala Ligi Kuu Bara

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Bara (TPLB) katika kikao cha Aprili 30, mwaka huu imepitia matukio yaliyojitokeza katika mechi za Ligi Kuu, Championship na First League na kutoa adhabu mbalimbali kwa timu na wachezaji.  Katika uamuzi uliotolewa timu ya Mashujaa imetozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la…

Read More

Mkurugenzi wa zamani ZBC ambwaga tena DPP kortini

Zanzibar. Jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani Tanzania, limeitupilia mbali rufaa iliyokuwa imekatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) dhidi ya aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC), Hassan Mitawi. Kupitia rufaa namba 82 ya mwaka 2023, DPP alipinga hukumu ya Mahakama Kuu Zanzibar, iliyomwachia huru Mitawi na mtumishi mwingine wa…

Read More

Ujenzi holela watajwa chanzo nyumba kuanguka

Dar/Mbeya. Madhara ya mvua yameendelea kuleta adha kwa makazi ya wananchi, huku baadhi ya wakiiomba Serikali kuwahamishia katika maeneo salama. Wakati hayo yakiendelea, wataalamu wa maji na uhandisi wa ujenzi wameeleza sababu za madhara ya maji ya ardhini na njia sahihi za ujenzi unaoweza kuhimili kishindo cha wingi wa maji. Licha ya mvua kukatika tangu…

Read More

Pacome afunga bandeji goti aliloumia

LICHA ya kuonekana kuwa fiti kwa ajili ya mchezo wa robo fainali ya kombe la shirikisho (FA), kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua ameonakana akiwa amefunga bandeji ya bluu kwenye goti aliloumia zaidi ya mwezi mmoja uliopita. Pacome aliumia Machi 17 katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam FC ambao Yanga ilipoteza kwa mabao 2-1….

Read More

Mshairi nguli Amiri Andanenga afariki dunia, azikwa

Dar es Salaam. Mwanasheria na mwandishi wa vitabu vya riwaya za fasihi za Kiswahili na Kiingereza, Charles Mroka amemuelezea hayati Amir Andanenga kama mtu aliyekuwa na kipaji cha kutunga mashairi. Andanenga aliyekuwa mwanafasihi nguli na mwasisi wa Chama cha Usanifu wa Kiswahili na Ushairi Tanzania (Ukuta) amefariki usiku wa kuamkia leo Mei Mosi, 2024, katika…

Read More

MABALOZI WA NCHI ZA JUMUIA YA ULAYA WAITEMBELEA SUA.

Mabalozi wa nchi za umoja wa Ulaya wamaitembelea Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo SUA, Kampasi ya Edward Moringe, ili kujionea miradi mbalimbali inayoendelea Chuoni hapo kwa ufadhili wa nchi wanachama wa Jumuia hiyo. Mabalozi hao wakiongozwa na Balozi wa Jumuia ya Ulaya na Jumuia ya Afrika Mashariki Mhe.Christine Grau, wamepokewa Chuoni hapo na Naibu…

Read More

Simba, Azam vitani tena kunasa saini ya kiungo fundi

JINA la kiungo Najimu Musa lipo mezani kwa timu za Simba, Azam na KMC huku kila timu ikihitaji saini ya mchezaji huyo kwa msimu ujao. Kiungo huyo mzawa anayekipiga Tabora United ni miongoni mwa wachezaji waliomvutia kocha aliyeondoka Simba, Abdelhack Benchikha na kuwaeleza viongozi wa timu hiyo kumsajili kwaajili ya msimu ujao kwani anaamini angeongeza…

Read More