Admin

Unyanyapaa kikwazo mabinti waliojifungua kurejea shuleni

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kuruhusu wanafunzi waliokatisha masomo kwa ujauzito kurejea shuleni baada ya kujifungua, utafiti umeonyesha wengi wanashindwa kuendelea na masomo  kwa sababu mbalimbali, ikiwemo unyanyapaa. Ripoti ya utafiti uliofanywa na Shirika la Hakielimu katika wilaya 12 za mikoa sita nchini iliyotolewa Aprili 29, 2024 inaonyesha kwa kiasi kikubwa unyanyapaa unafanywa na…

Read More

POSHO LA NAULI 50,000 KWA WAFANYAKAZI WATAKAOSAHILI

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuhakikisha changamoto zote za wafanyakazi inazitatua kwa wakati, ikiwemo kutoa posho la nauli a 50, 000 kwa wafanyakazi watakaostahili, kutoa huduma bora kwa wananchi na kuendelea kukuza uchumi wa nchi Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani, (Mei mosi) Uwanja wa…

Read More

MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO MEI MOSI ARUSHA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia Viongozi na Wafanyakazi kutoka Wizara, Taasisi za Serikali na Binafsi wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo Kitaifa yamefanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mkoani Arusha tarehe 01 Mei 2024. Viongozi mbalimbali wa Serikali na Sekta Binafsi wakiwa…

Read More

DC KIGOMA ATOA ANGALIZO VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO JKT

MKUU  wa Wilaya ya Kigoma, Salum Kalli,akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kufunga  mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea ‘Operesheni ya Miaka 60 ya JKT’, katika kikosi cha Jeshi cha 821, Bulombora,hafla iliyofanyika Mkoani Kigoma. Na.Alex Sonna-KIGOMA MKUU  wa Wilaya ya Kigoma, Salum Kalli amewataka vijana waliopata mafunzo ya awali Jeshi la…

Read More

Wahamasishwa kukopa bodaboda na bajaji kujikwamua kiuchumi

Dar es Salaam. Katika kukabiliana na tatizo la ajira nchini, vijana wametakiwa kujitokeza kuomba mikopo ya pikipiki na bajaji za kufanyia biashara kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Hayo yamezungumzwa na Mkurugenzi wa masoko wa Kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (METL) na Mo Finance, Fatema Dewji alipokuwa akizindua rasmi kampuni ya mikopo Mo Finance itakayokuwa…

Read More

BRELA YAWASHIKA MKONO WATOTO WENYE UHITAJI – CHAKUWAMA

 Katika kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi, Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), leo tarehe 01 Mei, 2024 imetembelea Kituo cha Watoto wenye uhitaji cha CHAKUWAMA kilichopo Sinza jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa msaada wa vifaa mbalimbali. Akikabidhi msaada huo  kwaniaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA,…

Read More