Admin

SMZ yatenga Sh34 bilioni posho ya nauli kwa wafanyakazi

Unguja. Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar (Zatuc), limewasilisha changamoto nane mbele ya Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi likiomba kufanyiwa kazi ili kuongeza ufanisi kwa wafanyakazi. Wakati Zatuc ikiwasilisha changamoto hizo, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetenga Sh34 bilioni kwa ajili ya posho ya nauli kwa wafanyakazi, kila mtumishi atapewa Sh50,000. Akisoma risala…

Read More

Sakata la Kakolanya lachukua sura mpya Singida Fountain Gate

SAKATA la kipa namba moja wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya limechukua sura mpya ikiwa ni siku chache tangu nyota huyo wa zamani wa Tanzania Prisons, Yanga na Simba kufichua kuwa baada ya kuijibu barua ya kutokwenda katika Kamati ya Nidhamu, Ijumaa iliyopita, akaondolewa kwenye ‘group’ la WhatsApp wachezaji, huku nyumba yake akipewa mchezaji mwingine….

Read More

Changamoto tisa wafanyakazi wakiadhimisha Mei Mosi

Dar es Salaam. Katikati ya sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ‘Mei Mosi’ Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta) limetaja mambo tisa yanayowasibu wafanyakazi nchini na kupendekeza utatuzi wake. Miongoni mwa mambo hayo ni kupandishwa kwa mishahara, usuluhishi wa migogoro, ajira za mikataba, likizo ya uzazi kwa wanawake na marekebisho katika kikokotoo. Katika sherehe…

Read More

Mastaa Yanga wamshangaza Gamondi kambini

KOCHA wa Yanga Miguel Gamondi, amevunja ukimya kwa kusema namna anavyoshangazwa na maisha ya mastaa wa timu hiyo kambini kwa muda wa mwaka mmoja aliokaa na timu hiyo, huku akifichua nyakati ngumu anazokutana nazo pale timu uinapotoka sare au kupoteza mchezo. Gamondi aliyetua Yanga mwanzoni mwa msimu huu akimpokea Nasreddine Nabi aliyemaliza mkataba na kutimkia…

Read More

Serikali imalize mgogoro wa kikokotoo – ACT

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kumaliza mgogoro wa kikokotoo cha pensheni za wastaafu, kwa kurejesha kanuni za zamani za mafao zilizotumika kabla ya mwaka 2017. Kauli inakuja wakati maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kitaifa yakiwa yamefanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali, huku mgeni rasmi akiwa Makamu…

Read More

Masauni,IGP Wambura waahidi Uchaguzi Huru

Na Mwandishi Wetu,DODOMA Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaahidi watanzania kuwepo kwa Uchaguzi Huru na Haki ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu pamoja na Uchaguzi Mkuu mwakani huku ikisisitiza kila mtu atapata haki yake ya kidemokrasia ya kuchagua na kuchaguliwa bila kuwepo kwa vihatarishi vya amani katika maeneo yote…

Read More

Mavunde: Tulitumia saa manane kumvuta GSM Yanga

UKIACHA mapenzi yake ndani ya klabu ya Yanga kama kuna jambo ambalo lilimtambulisha kwa ukubwa Antony Mavunde ndani ya klabu hiyo basi ni ile siku ambayo aliutambulisjha umma wa wanachama na mashabiki wa klabu hiyo juu ya ujio wa mfadhili wa timu hiyo     Ghalib Said Mohammed ‘GSM’. Mavunde alimtambulisha tajiri huyo mbele ya uma…

Read More