Admin

BOTI YA MV BULOMBORA YAZINDULIWA BAADA YA MIAKA 20,YAKARABATIWA NA KIKOSI CHA 821 KJ YAWA YA KISASA

  MUONEKANO wa Boti ya MV Bulombora iliyozinduliwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena, baada ya kufanyiwa matengenezo makubwa na kikosi cha 821 KJ Bulombora hafla iliyofanyika katika bandari ya Kigoma Mjini. Na Alex Sonna-KIGOMA MWENYEKITI wa Kamati ya Kimkakati…

Read More

Championship ilikuwa ni msimu wa jasho na damu

MSIMU uliopita wa Ligi ya Championship ulifika tamati mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kivumbi, jasho na damu kuvuja kwa wachezaji wa timu 16 zilizokuwa zinapigania nafasi mbalimbali hususan lengo kuu la kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao. Wakati ligi hiyo ikitamatika yapo mambo mengi yaliyojitokeza tangu msimu huu ulivyoanza kama ambavyo Mwanaspoti linavyokudadavulia chini….

Read More

MRADI WA USEMINI KUSAIDIA UTUNZAJI WA MAZINGIRA MOROGORO

Licha ya serikali na wadau wa mazingira kuendelea kutoa elimu ya utunzaji na uvunaji halali wa Mazao ha misitu bado baadhi ya watu wamekua wakiendelea kufanya Uharibifu Kwa kukata miti hovyo ambapo Takwimu zinazonyesha zaidi ya hekta Laki nne za misitu huaribiwa nchini kila.mwaka Kutoka na Changamoto hiyo Serikali ya Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana…

Read More