Admin

Makonda awapa ‘Wadudu’ kibarua cha ulinzi Arusha

Arusha. Unaweza kusema umetumika ule usemi wa wahenga wa ‘Mchawi mpe mwana alee’, baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kuwapa  kibarua cha ulinzi vijana wa Arusha maarufu kama ‘Wadudu’. Vijana hao wamekuwa maarufu kutokana na kuogopeka na wakazi wa Arusha kwa madai kuwa ni vibaka na wezi kwa kutumia vitu vyenye ncha…

Read More

Vituko vya wachezaji uwanjani | Mwanaspoti

Wakati mwingine wachezaji wanafanya vituko vya ajabu, hadi wao wenyewe wanajishangaa, pindi wanapopata utulivu wa kujitathimini baada ya majukumu yao, kuona walifanya vitu vya ajabu. Mwanaspoti limezungumza na wachezaji mbalimbali kujua wanakuwa wanapatwa na nini hadi wakati mwingine hufanya matukio ya kushangaza uwanjani na majibu yao yatakuchekesha na kukushangaza.  Beki wa Mashujaa, Said Makapu anasema…

Read More

TVA yatoa chanjo kwa wanyama

CHAMA cha Madaktari wa Wanyama (TVA) kimefanikiwa kutoa chanjo kwa wanyama mbalimbali dhidi ya magonjwa ya sotoka na kichaa cha mbwa sambamba na kufanya uchunguzi na matibabu kwa wanyama. Hatua hiyo ni kuelekea maadhimisho ya Siku ya Madaktari wa Wanyama duniani, Katibu wa chama hicho Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Meneja wa Kituo…

Read More

Blinken ziarani Israel kutafutia suluhu vita vya Gaza – DW – 01.05.2024

Blinken amekutana kwa mazungumzo na viongozi wa Israel na kusema “wakati ni sasa” wa kufikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano katika vita Gaza, huku akilitupia lawama kundi la Hamas kwa kucheleshwa kwa makubaliano hayo: ” Tumedhamiria kufikiwa kwa makubaliano ya usitishaji mapigano ambayo yatawarejesha nyumbani mateka. Tunatakiwa kufikia mpango huo sasa. Na sababu pekee ambayo hilo…

Read More

JKT yafufua boti iliyoharibika miaka 20 iliyopita

Kigoma. Baada ya kusimama kufanya kazi kwa miaka 20 kutokana na uchakavu, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefufua boti ya MV Bulombora ambayo mbali ya shughuli za uvuvi, kusafirisha watu, itatumika katika shughuli za ulinzi kwenye Ziwa Tanganyika. Boti hiyo inayofanya kazi chini ya Kikosi cha JKT 821 cha Bulombora ina uwezo wa kubeba abiria…

Read More

Kocha Simba afikisha siku 526 rumande upelelezi bado!

Aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, Muharami Sultani ‘Shilton’ (40) na wenzake wanaendelea kusota rumande kwa siku 526 sasa kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika. Sultani na wenzake watano wanakabiliwa na mashtaka manane yakiwemo ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 34.89 pamoja na kutakatisha fedha. Kwa mara ya…

Read More

CCM IRINGA WAWAPONGEZA WALIMU WAZALENDO

Katibu Siasa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM mkoa wa Iringa, Joseph Ryata akiongea na walimu wazalendo wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Na Fredy Mgunda, Iringa CHAMA cha Mapinduzi CCM mkoa wa Iringa kimewpongeza walimu wazalendo kufundisha kwa juhudi na kumuunga mkono Rais Dr Samia suluhu Hassan katika kutekeleza ila ya CCM ya 2020/2025 kwa vitendo….

Read More