Admin

Tatizo la afya ya akili laongezeka Zanzibar

Unguja. Zaidi ya watu 5,000 wanakadiriwa kukabiliwa na tatizo la afya ya akili Zanzibar. Hata hivyo, kutokana na udhaifu wa usajili wa wagonjwa, idadi inaelezwa yaweza kuwa mara mbili zaidi. Hayo yamebainika leo Aprili 30, 2024 katika mkutano wa wauguzi na waandishi wa habari kuhusu kazi zitakazofanyika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wakunga…

Read More

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Wanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha wamefanya matendo ya huruma kwa kutoa fedha na vitu mbalimbali vyenye thamani ya Sh. 11,557,000/= ambavyo vimekabidhiwa kwa vituo vinne vyenye uhitaji maalum. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Michezo ya Mei Mosi Taifa, Roselyne Massam Aprili 30, 2024 jijini Arusha…

Read More

Kamati kuu ya Chadema kukutana Mei 4

Dar es Salaam. Vigogo wa Chadema wanatarajia kujifungia katika kikao cha kamati kuu kinachotarajiwa kufanyika Mei 4 kikiwa na ajenda mbalimbali ikiwamo ya uchaguzi wa ndani wa chama hicho. Ajenda nyingine zitakazojadiliwa na vigogo hao ni tathimini ya wiki wa maandamano ya amani yaliyoingia siku ya saba leo, yenye lengo la kufikisha kilio cha wananchi…

Read More

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AFANYA ZIARA KATIKA HOSPITAL YA WILAYA NA MNAZI MMOJA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akipokea maelezo kutoka kwa mfanyakazi wa Hospital ya Wilaya wa Magharini “B” Mwanakwerekwe Ijitimai wakati alipofanya ziara ya  kutetembelea na kukagua utowaji wa huduma katika hospitali hio. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na wagonjwa waliolazwa katika wodi ya mifupa…

Read More

Pamba yasimamisha Jiji, yapokelewa kishujaa Mwanza

Mwanza. USIPIME! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na mapokezi makubwa iliyoyapata Pamba Jiji leo baada ya kupanda daraja kwenda Ligi Kuu Bara mwishoni mwa wiki iliyopita ikivunja mwiko wa miaka 23 tangu iliposhuka daraja mwaka 2001. Msafara wa timu hiyo uliokuwa umebeba wachezaji, benchi la ufundi na baadhi ya viongozi uliokuwa unatokea Arusha kupitia mkoani Shinyanga…

Read More

Warioba ataja sababu ya wapigakura wachache

Dodoma. Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba ametaja mambo ambayo yakifanyiwa kazi mapema yatawezesha wananchi wengi kushiriki uchaguzi na kuwapata viongozi wanaowataka kuwawakilisha kwenye vyombo vya maamuzi. Jaji Warioba ametoa kauli hiyo leo Jumanne Aprili 30, 2024 kwenye kongamano la wadau wa habari na uchaguzi Tanzania lililoandaliwa na baraza la habari nchini (MCT) Jijini Dodoma….

Read More