META KUTIA SAINI MAKUBALIANO YA UKODISHAJI NA UUZAJI WA VIFAA VYA UCHIMBAJI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI
Na Janeth Raphael -MichuziTv -Dodoma Mwakilishi kutoka Kampuni ya META Issa Mndeme amesema wapo katika hatua ya utiaji saini ya makubaliano ya ukodishaji na uuzaji vifaa vya uchimbaji kwa wachimbaji wadogo ili kuwasaidia kuepukana na changamoto mbalimbali ambazo wamekuwa wakikumbana nazo kwenye uchimbaji. Mndeme ameyamesema hayo Jijini Dodoma kwenye mkutano wa kamati tendaji na Halmashauri…