
Wizara ya Madini kuwezesha wachimbaji wanawake, vijana
Dodoma. Wakati Wizara ya Madini imekuja na programu ya ‘madini ni mwanga kesho’ (MBT) kwa vijana na wanawake, pia imeliomba Bunge kuridhia bajeti ya Sh231.9 bilioni. Hayo yamesemwa leo Jumanne, Aprili 30, 2024 na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Mavunde amelieleza Bunge…