Admin

SERIKALI INATAFITI MIKARATUSI KUHARIBU MAZINGIRA

Serikali kupitia Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) inaendelea na utafiti wa kina wa miti aina ya mikaratusi kuhusu athari zake kimazingira na kuja na taarifa ya kitaalamu pamoja na ushauri. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis ameriarifu Bunge wakati akijibu swali la Mbunge wa Hai…

Read More

Msala wa kwanza wa Mgunda Ligi Kuu

Siku moja baada ya kuachana na kocha wake Abdelhak Benchikha Simba inarudi uwanja  kwenye uwanja mgumu ugenini itakapokutana na wabishi Namungo ya Lindi. Simba baada ya kuondokewa na Benchikha aliyerusha taulo kwa sababu za kifamilia akiachana na timu hiyo, leo kikosi chao kitakuwa chini ya kocha wa Juma Mgunda ambaye atasaidiana na Seleman Matola. Matola…

Read More

EMPOWERING PROGRESS, HOW IDA FUNDS ARE TRANSFORMING DEVELOPING NATIONS.

The International Development Association (IDA) has been empowering nations and transforming lives since its establishment in 1960. Through grants and low-interest loans, IDA has supported 75 developing countries. 1. Empowering Developing Nations. The International Development Association (IDA) is a key component of the World Bank, committed to supporting developing countries. Established on September 24, 1960,…

Read More

DKT BITEKO AIPA TANO TEF KWA KAULI MBIU YAO YA “UANDISHI WA HABARI KUHAMASISHA MATUMIZI YA GESI KULINDA MISITU.

Na Janeth Raphael -MichuziTv -Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Dotto Biteko ameoneshwa kufurahishwa na Kauli mbiu iliyoandaliwa na Jukwaa la Wahariri TEF kwa mwaka 2024 iliyokuwa inasema “Uandishi wa Habari Kuhamasisha Matumizi ya Gesi Kulinda Misitu” na kusema imebeba ujumbe unaolenga kuhamasisha matumizi ya gesi kwa kupikia. Dkt Biteko ameyasema…

Read More

Samsung Electronics Continues to Lead Global Digital Signage Market for 15th Consecutive Year

Kenya on right path to cutting-edge digital signage as Samsung Electronics leads the way NAIROBI, Kenya – Samsung Electronics, a pioneer in cutting-edge display technology, has again secured its position as the number one global signage manufacturer. For an impressive fifteenth consecutive year, market research firm Omdia has recognised Samsung for its unwavering leadership in…

Read More

ELIMU KUTUMIKA KUZUIA VITENDO VYA RUSHWA,USIMAMIZI MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),Mkoa wa Mwanza,katika kuzuia vitendo vya rushwa kwenye miradi ya maendeleo,mkakati uliopo ni kutoa elimu kwa wananchi kusimamia matumizi ya sahihi ya fedha zinazotolewa na serikali kutekeleza miradi hiyo. Pia,katika kipindi cha robo ya nne ya mwaka 2023/24, itaendelea kutekeleza majukumu yake ya kuchunguza…

Read More