Admin

Waogeleaji watumwa medali Angola | Mwanaspoti

BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) limewataka waogeleaji wa timu ya Taifa kuhakikisha wanafanya vema kwenye mashindano ya kuogelea ya Afrika (Africa Aquatics Swimming Championship) yatakayoanza kesho Aprili 30 hadi Mei 2 mwaka huu nchini Angola. Mashindano hayo yana lengo la kuwania kufuzu michuano ya Olimpiki itakayofanyika Julai 26 hadi Agosti 11 nchini Ufaransa na…

Read More

Mbunge adai Tanroads ilimpa kazi mkandarasi asiye na vifaa

​​​​​​Morogoro. Mbunge wa Ulanga (CCM), Salim Hasham ameutupia lawama Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) mkoa wa Morogoro kwa kumpa kazi mkandarasi asiye na vifaa, jambo ambalo limesababisha kuchelewa kwa ujenzi wa barabara na kuchochea kupanda kwa bei za vyakula. Amedai mkandarasi huyo alipewa mradi wa kujenga barabara inayounganisha Ulanga na Ifakara, hata hivyo, amedai tangu alipopewa…

Read More

Ukraine yazima mashambulizi ya Urusi – DW – 29.04.2024

Jeshi la Ukraine limesema limefanikiwa kuzima mashambulizi yapatayo 55 ya Urusi  katika vijiji kadhaa vya kaskazini na magharibi mwa Novobakhmutivka, kijiji ambacho Moscow imedai kukidhibiti. Mapambano makali yaliripotiwa mwishoni mwa juma katika eneo la mashariki mwa Ukraine, ikiwa ni pamoja na kijiji cha Ocheretyne, ambapo mapigano makali yameripotiwa jana Jumapili. Soma pia: Jeshi la Ukraine lawarejesha…

Read More

MADAKTARI BINGWA KUTOKA MIKOA YA MBEYA,SONGWE NA RUVUMA WAPIGA KAMBI KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA KWA WANANCHI RUVUMA

TIMU ya madaktari Bingwa kutoka mikoa ya Ruvuma,Songwe na Mbeya wameanza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwa wananchi wa mkoa wa Ruvuma. Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa Songea(Homso)Dkt Majura Magafu amesema,uchunguzi na matibabu hayo yatahusisha magonjwa ya akina Mama,magonjwa ya ndani kama vile shinikizo la damu,kisukari na figo….

Read More