Admin

Simba yamrejesha Juma Mgunda | Mwanaspoti

Hatimaye Simba imerejesha kocha mzoefu, Juma Mgunda kwenye kikosi hicho muda mchache baada ya Abdelhack Benchikha na wasaidizi wake kutimka. Tetesi zilianza kuzagaa wiki nzima kuwa Benchikha anaondoka kwenye kikosi hicho na muda mchache uliopita, Simba imetoa taarifa ya kuachana naye na sasa timu hiyo itakuwa chini na Mgunda na Selemani Matola. Taarifa iliyotolewa na…

Read More

Thank You! Simba yamuaga Benchikha, Mgunda apewa timu

KLABU ya Simba imetangaza kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Mualgeria, Abdelhak Benchikha ikiwa ni siku moja tangu atwae Kombe la Muungano lililohitimishwa jana visiwani Zanzibar huku Juma Mgunda akipewa timu hiyo. Simba ilitwaa taji hilo baada ya kuifunga Azam FC bao 1-0, lililofungwa na kiungo wa kikosi hicho, Babacar Sarr katika dakika…

Read More

Simulizi ya mwanafunzi mchoraji mwenye uoni hafifu

Bukoba. “Nilianza kuchora picha ya chupa ya maji, baadaye nilichora picha ya baba yangu mzazi, kwa sasa nimechora picha ya mbunge wangu, na picha hii ni zawadi kwake. Natamani kusoma chuo  Korea na China ili kuendeleza kipaji changu na kuinua familia yangu yenye uhitaji mkubwa.” Hayo ni maneno ya Julieth Richard (19), msichana mwenye uoni…

Read More

Ken Gold kuzipeleka Simba, Yanga Chunya

‘Tanzania tunaitaka Chunya’. Ni kauli ya Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mbarack Batenga akielezea Ken Gold kutumia Uwanja wa Chunya kwa ajili ya mechi zao za nyumbani Ligi Kuu msimu ujao. Uwanja huo ambao ulitumika katika michuano maalumu ya Mbeya Pre Season, una uwezo wa kubeba watazamaji 20,000 ambao kwa sasa unaendelea na ujenzi na…

Read More

Vijana wapewa ‘mchongo’ sekta ya kilimo

Dar es Salaam. Vijana wametakiwa kujitokeza kuwekeza kwenye sekta ya kilimo kwa kujiunga katika vikundi, ili kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa urahisi, uzoefu na elimu ya kifedha. Kwa kufanya hivyo imeelezwa kutasaidia wanafunzi waliosoma masuala ya kilimo kutokimbia fani hiyo. Mbali ya hayo, imeshauriwa kuboreshwa miundombinu na usafirishaji, kuongezwa mitaji ya uwekezaji, wakopaji kuwa na…

Read More

RC CHONGOLO ASHIRIKI IBADA YA UZINDUZI WA UKUMBI WA KANISA LA KKKT TUNDUMA,ASKOFU MKUU MALASUSA ASEMA SONGWE WAMEPATA MKUU WA MKOA MCHAPAKAZI,MSIKIVU NA ANAYEPOKEA USHAURI.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Daniel G. Chongolo ameshiriki katika ibada maalumu ya Kanisa la KKKT Jimbo la Tunduma ikiongozwa na Askofu Mkuu wa makanisa ya KKKT Tanzania Dkt. Alex Malasusa iliofanyika katika mji wa Tunduma sambamba na uzinduzi wa ukumbi wa kanisa hilo. Akiongea katika hafla hiyo Chongoloa amesema mkoa wa Songwe ni moja…

Read More

Pamba yarejea Ligi Kuu Bara baada ya miaka 22

TP Lindanda wana Kawekamo timu ya Pamba Jiji FC imerejea tena Ligi Kuu Bara na kuwakata kiu mashabiki wa soka wa Jiji la Mwanza ambao wamesubiri kwa zaidi ya miaka 20, huku kocha Mbwana Makatta akiandika historia ya kuzipandisha daraja timu nne ndani ya misimu saba. Mabingwa hao wa Ligi ya Muungano mwaka 1990 wamerejea…

Read More

Kamanda Muliro: Boni Yai, Malisa hawakingwi na sheria

Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema sheria ya watoa taarifa kulindwa,  haimaanishi watu kujikite kutoa za uongo, huku wakidai walindwe. Kamanda Muliro ametoa kauli hiyo leo Aprili 28, 2024 alipotoa elimu kwa umma akijibu kilichoelezwa na Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu Boni Yai…

Read More