Admin

Biteko atembelea banda la GGML maonesho OSHA, aipongeza kudhibiti vifo mahali pa kazi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti matukio ya vifo na majeruhi katika shughuli za uchimbaji mgodini na kuwasisitiza waajiri wengine kuhakikisha wakati wote wanalinda usalama wa waajiriwa wao. Biteko ametoa kauli hiyo leo Jumapili Aprili…

Read More

Marekani yaombwa izuie hatua ya kuushambulia mji wa Rafah – DW – 28.04.2024

Saudi Arabia ambayo ni mwenyeji wa mkutano maalum wa kimataifa unaojadili masuala ya kiuchumi  imetowa mwito wa uthabiti katika kanda ya Mashariki ya kati, huku ikitahadharisha kuhusu athari zinazoweza kusababishwa duniani na vita vinavyoendelea kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas. Mtazamo wa Saudi Arabia umetolewa kwenye ufunguzi wa mkutano huo wa kilele unaohudhuriwa na…

Read More

Wataka maandamano ya Chadema vijijini

Sengerema. Wananchi wa Sengerema mkoani Mwanza wamewashauri viongozi wa Chadema kushusha maandamano ya amani hadi ngazi ya vijiji, ili kuwasaidia wananchi wa maeneo hayo kupata uelewa wa pamoja kuhusu malengo ya maandamano hayo. Wametoa ushauri huo leo Aprili 28, 2024 kufuatia maandamano ya Chadema yaliyofanyika jana Aprili 27, wilayani humo na  na kuongozwa na mwenyekiti…

Read More

Biteko aipongeza GGML kudhibiti vifo, majeruhi mahali pa kazi

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti matukio ya vifo na majeruhi katika shughuli za uchimbaji mgodini na kuwasisitiza waajiri wengine kuhakikisha wakati wote wanalinda usalama wa waajiriwa wao. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Biteko ametoa kauli hiyo leo Jumapili baada ya…

Read More

Makonda ataka waliokula fedha za Tasaf waburuzwe kortini

Arusha. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Arusha, imesema inawashikilia watu watatu wakiwamo watumishi wa Mkoa wa Arusha kwa tuhuma za ubadhirifu wa Sh428 milioni. Fedha hizo zilitolewa kwa ajili ya utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf). Takukuru imesema inaendelea na taratibu ili kuwafikisha watuhumiwa hao mahakamani. Jana Jumamosi…

Read More

Stori ya Bocco itaisha kishikaji Simba?

HESHIMA aliyojijengea nahodha wa Simba, John Bocco tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara mwaka  2008 hadi 2024, inawafanya mashabiki kuyafuatilia maisha yake na kutaka kujua ukimya wake unasababishwa na kitu gani. Kwa wachezaji wa sasa, Bocco ndiye anaongoza kwa kufunga mabao 154 katika misimu 16 aliyocheza, ukiachana na mastaa wa zamani kama Mohamed Hussein ‘Mmachinga’…

Read More