Admin

Hiki ndicho kiini cha akili na maana yake

Waswahili wanasema mtaka cha uvunguni shurti ainame, na vijana wa sasa wanasema anaweza inua kitanda, uchaguzi ni wako, uiname au uinue kitanda… hebu twende pamoja. Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia watu wakitofautiana wanasema huyu hana akili mpuuze tu. Wazazi nao wanasema huna akili kama mama au baba yako! Hii ikanifanya nijiulize swali, hivi akili ni…

Read More

Wawili jela maisha kwa kubaka mama na wanawe

Handeni. Mahakama ya Wilaya ya Handeni mkoani  Tanga, imewahukumu kifungo cha maisha jela wakazi wawili wa Kata ya Kabuku Ndani, Rashid Selemani (42) na  Ramia Juma (48)  kwa kuwabaka mama na watoto wake wawili. Adhabu hiyo ilitolewa na Hakimu  Veronica Siao jana Aprili 25, 2024, baada ya kuwatia hatiani kwa makosa hayo. Hakimu Siao amesema…

Read More

DC Ileje apiga marufuku vyandarua kujengea bustani

Ileje. Mkuu wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, Farida Mgomi amewaagiza viongozi wa vijiji  kusimamia wananchi kutotumia vyandarua kujengea bustani za mbogamboga. Mgomi ametoa agizo hilo katika maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo kwa Wilaya ya Ileje yalifanyika jana Aprili 25, 2024 katika Zahanati ya Isongole, Kijiji cha Isongole, Kata ya Isongole. Katika maadhimisho…

Read More

Usizidishe kiwango hiki cha kahawa kwa siku

Dar es Salaam. Umewahi kukutana na mfanyakazi ambaye muda wote mezani kwake kuna kikombe cha kahawa? Kadhalika, umewahi kujiuliza kwa nini katika ofisi nyingi unaweza ukakosa vinywaji vingine, lakini si kahawa? Maswali hayo yanaakisi uhalisia wa mwenendo wa maisha ya wafanyakazi wengi wanapokuwa ofisini, lakini pia mtindo wa ofisi mbalimbali na vikundi vya mikusanyiko mbalimbali…

Read More

Mbadala wa Aucho huyu hapa

YANGA wameanza mapema kukifanyia maboresho kikosi chao kuelekea msimu ujao, baada ya kupiga hodi kuulizia huduma ya kiungo mkabaji, Yusuph Kagoma kama mbadala mpya wa staa wao, Khalid Aucho. Kagoma ni kati ya viungo wakabaji wazawa wanaofanya vizuri katika Ligi Kuu Bara ambapo msimu huu amekuwa akiitumikia Singida Fountain Gate aliyojiunga nayo kipindi cha usajili…

Read More

Mwisho wa ubishi CAFCL | Mwanaspoti

Pretoria, Afrika Kusini. Mechi za pili za Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya nusu fainali zinapigwa leo kwenye viwanja viwili tofauti, hadi saa sita usiku timu zitakazokwenda fainali zitakuwa zimeshafahamika. Hii ni hatua muhimu kwenye michuano hiyo mikubwa barani Afrika, ambapo Al Ahly ambayo iliitupa nje Simba kwenye hatua ya robo fainali, itaingia uwanjani kuvaana…

Read More