Admin

Mvua kubwa kufikia ukomo Aprili 28

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi nchini zinatarajiwa kukoma Aprili 28, 2024. TMA imesema mifumo inayosababisha viashiria vya mvua kubwa inaenda kudhoofu. Meneja wa Utabiri wa TMA, Dk Mafuru Kantamla amesema hadi kufikia Aprili 28, 2024 mifumo inaonyesha hali ya mvua kubwa itakoma….

Read More

TBS YATOA ELIMU KWA WAJASIRIMALI KWENYE MAONESHO YA MUUNGANO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetoa elimu ya viwango vya ubora kwa Wajasiriamali wadogo waliojitikeza katika Maonesho ya Kibiashara ya Miaka 60 ya Muungano katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam. Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo leo Aprili 25,2024, Afisa Masoko (TBS), Bw. Mussa Luhombero amesema wametoa elimu…

Read More

Mbowe akatisha mkutano wake Geita kisa mvua

Geita. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa hatima ya maisha ya Watanzania ipo kwenye mikono, mioyo na akili zao. Amesema kila kona ya nchi kuna malalamiko bila kujali aina ya shughuli wanazofanya na kusema, utafiti uliofanywa na chama hicho umebaini malalamiko na matatizo mengi ya wananchi yanatokana na mfumo wa utawala unaotokana na Katiba…

Read More

BUNGE LAPITISHA SH. TRILIONI 1.8 MATUMIZI YA WIZARA YA NISHATI 2024/2025

-95.28% kuelekezwa kwenye maendeleo-Serikali kuja na Kanuni ya Uwajibikaji kwa wananchi Miradi ya Mafuta na Gesi Asilia-Dkt. Biteko aagiza Halmashauri kupeleka fedha za Ushuru wa Huduma vijijini-Masharti ufunguzi wa vituo vya CNG yarekebishwa kuvutia uwekezaji-Kapinga atilia mkazo utekelezaji Nishati Safi ya Kupikia na CNG Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha shilingi Trilioni…

Read More

Mvua ya maafa yazidi kutikisa nchini

Dar/mikoani. Ni wimbi la majanga lililopoka uhai wa binadamu, kuathiri makazi na hata kukwaza shughuli za kiuchumi, ndiyo lugha nyepesi unayoweza kuitumia kuakisi kiwango cha athari za mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini. Mvua hizo za El-Nino zilizoanza kunyesha Oktoba mwaka jana, hadi sasa zimefululiza kwa miezi saba na kukatisha uhai wa watu  162 nchini,…

Read More