Admin

RAS ,MRATIBU WA MAAFA PWANI WAPOKEA UGENI KUFANYA UFUATILIAJI WA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KAMBI ZA MAFURIKO

Na Mwamvua Mwinyi,RufijiApril 23 Patrick Golwike (Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Mahitaji Maalum [WMJJWM]) ameridhishwa na misaada inayoelekezwa na huduma zinazoelekezwa kwa akinamama waliojifungua na watoto waliokumbwa na maafa ya mafuriko Rufiji na Kibiti mkoani Pwani. Aidha amepongeza mkoa,maofisa ustawi wa jamii kata,wilaya na mkoa…

Read More

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

MADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya elimu ya usalama barabarani yalivyo wafumbua macho na kuwafanya kufahamu sheria mbalimbali za barabarani na hivyo kuendelea na kazi yao wakiwa salama. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Wamesema hayo mbele ya waandishi wa habari waliokuwa wametembelea kijiwe cha bodaboda cha Kijiwe Pesa ambapo baadhi ya bodaboda…

Read More

Simba yafuata mrithi wa Saido Asec

BAADA ya kipigo cha mabao 2-1, wekundu wa Msimbazi Simba wameamua kuingia sokoni kusaka mashine mpya na sasa iko mezani na kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas Pokou Serge. Mwanaspoti linajua Simba inataka huduma ya kiungo huyo kiraka ili aje kufanya mambo mawili kutumika kama winga wa kushoto, pia kama kiungo mshambuliaji nyuma ya mshambuliaji wa…

Read More

Shule iliyosababisha mkandarasi kutimuliwa Zanzibar yafunguliwa

Unguja. Shule ya Sekondari iliyosababisha mkandarasi kuzuiwa kufanya kazi Zanzibar imekamilika na kufunguliwa rasmi. Sekondari hiyo iliyopewa jina la Hassan Khamis Hafidh yenye ghorofa tatu ina madarasa 41. Mwonekano wa Shule ya Sekondari  Hassan Khamis Hafidh. Ujenzi wake umegharimu Sh5.4 bilioni ambao ulianza Februari 2022. Kwa mujibu wa mkataba ilitakiwa kukamilika Agosti mwaka 2022. Hata hivyo,…

Read More