Admin

Ali Kamwe afunguka ishu nzima ya Pacome, iko hivi

NYOTA wa Yanga, Pacome Zouzoua ameanza rasmi mazoezi na timu hiyo baada ya kukosekana kutokana na majeraha ya goti aliyoyapata wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC. Katika mchezo huo uliopigwa Machi 17, mwaka huu na kushuhudia Yanga ikifungwa mabao 2-1 kwenye Uwanja Benjamin Mkapa, Pacome alishindwa kuendelea dakika ya 28…

Read More

ACT Wazalendo wasisitiza kushushwa gharama za maisha

Moshi. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaja hali ngumu ya kiuchumi miongoni mwa mambo manne ambayo kimesema bado ni changamoto kwa Watanzania. Pamoja na hilo, ambalo kimetaka lifanyiwe kazi, pia kimesema lipo tatizo la ajira,  kikokotoo cha pensheni ya wastaafu, na kukosa uhakika wa huduma bora za afya. Hayo yalielezwa jana na Kiongozi wa Chama hicho,…

Read More

Wanne familia moja wafariki dunia, madaraja yakatika

Dar/mikoani. Mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali, zimeendelea kuleta madhara ikiwemo kusababisha vifo vya watu wanne wa familia moja na kukata mawasiliano ya upande mmoja kwenda mwingine. Mwenendo wa hali ya mvua unadaiwa kusababisha vifo vya watu wanne familia moja wanaoishi Mtaa wa Goroka Tuangoma wilayani Temeke, Dar es Salaam waliodondokewa na ukuta wa nyumba…

Read More

Watanzania watakiwa kuunga mkono matumizi nishati safi

Na Mwandishi Wetu, Arusha WANANCHI wa Jiji la Arusha wakiwemo Baba na Mama Lishe wameishukuru Kampuni ya Oryx Gas kwa hatua inazochukua za kuhakikisha kundi hilo linatumia nishati safi ya kupikia kwa lengo la kuharakisha shughuli zao sambamba na kuwaepusha na madhara yanayotokana na kutumia kuni na mkaa wakati wa kupika. Wakizungumza leo Aprili 27,2024…

Read More