Admin

DC Timbuka: Tunapanga namna nzuri ya kuwanusuru wananchi na mafuriko

Siha. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kuathiri maeneo mengi nchini, Mkuu wa Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, Dk Christopher Timbuka amesema wanapanga namna nzuri ya kuwanusuru wananchi na hatari ya mafuriko. Hata hivyo, amesema wakati Serikali ikiendelea na mipango na mikakati yake, amewomba wananchi nao waendelee kuchukua tahadhari hasa wale wanaoishi katika maeneo hatarishi…

Read More

Chanongo hatihati kuivaa Mbuni | Mwanaspoti

Arusha: Kiungo mshambuliaji wa Pamba Jiji FC, Haruna Chanongo huenda akakosa mchezo wa mwisho wa Ligi ya Championship dhidi ya Mbuni FC kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya nyama za paja. Umuhimu wa nyota huyo unatokana na kuwa ndiye kinara wa ufungaji kwenye kikosi hicho cha TP Lindanda kinachonolewa na kocha Mbwana Makata akiwa amehusika…

Read More

TANROADS YAWEKA KAMBI BARABARA YA MOROGORO- IRINGA KUZIBA MASHIMO MAENEO YALIYOHARIBIWA NA MVUA

Na Aisha Malima-Morogoro Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro inaendelea na kazi ya kuziba mashimo na kukarabati barabara kuu ya Morogoro – Iringa ikiwemo katika eneo la Kobogwa lilipo katika hifadhi ya Taifa ya Mikumi ambapo kumetokea shimo kubwa baada ya maji kupita pembezoni mwa Kalvati. Akizungumza na Kipindi cha TANROADS…

Read More

Mke wa Sumaye aibuka kidedea kortini

Kilimanjaro. Esther Frederick Sumaye ambaye ni mke wa Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ameibuka kidedea katika kesi ardhi ya kugombea shamba namba 25 lililopo Madale eneo la Wazo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, Jaji Elinaza Luvanda wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi aliyesikiliza kesi hiyo namba 99 ya 2023…

Read More

Huku Fei Toto, kule Chama Kombe la Muungano

KUTOKANA na ubora wa viungo waliopo Azam FC na Simba, huenda mechi ya fainali ya Kombe la Muungano ikaamuliwa na wachezaji wa nafasi hizo, wakati timu hizo zitakapokutana Jumamosi hii kuanzia saa 2:15 usiku kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Azam FC inashiriki kwa mara ya kwanza michuano hiyo iliyokuwa imesimama kwa takribani miaka 20, tofauti…

Read More

Kalaba aruhusiwa kutoka hospitalini | Mwanaspoti

NAHODHA wa zamani wa Zambia, Rainford Kalaba ameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kujeruhiwa vibaya katika ajali ya gari mwanzoni mwa mwezi huu. Kiungo huyo wa zamani wa TP Mazembe, alikuwa akiendeshwa katika gari aina ya Mercedes-Benz iliyogongana uso kwa uso na lori katika tukio la kutatanisha ambalo awali ilihofiwa amepoteza maisha yake. “Bw.Rainford Kalaba ameruhusiwa…

Read More

Rais Samia asisitiza kutekeleza 4R katika Muungano

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema katika kutekeleza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 Watanzania hawana budi kutekekeleza kwa vitendo falsafa ya 4R. Tangu ameingia madarakani Machi 19, 2021 Rais Samia amekuwa na falsafa yake ya R nne (4R) anazozitumia katika utawala wake. 4R maana yake ni maridhiano (Reconciliation),…

Read More