Admin

Mpina amshukuru Samia kumwondoa Makamba Nishati

Dodoma. Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumwondoa aliyekuwa Waziri wa Nishati, January Makamba na kuibadilisha Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Mpina ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 25, 2024 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2024/25. Amempongeza Naibu…

Read More

CAF yaipa ushindi Berkane, yaitega USM ALGER

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) hatimaye limefanya uamuzi wa kuipa ushindi RS Berkane baada ya kubaini Wamorocco hao walifanyiwa vitendo sio vya kiungwana na wenyeji wao USM Alger ya Algeria. Taarifa iliyotolewa na CAF imesema idara ya mashindano ya Shirikisho hilo imebaini USM Alger haikuwatendea haki Berkane kwa kutowapa mapokezi sahihi wageni wao kama ambavyo…

Read More

Uchunguzi safari ya China ya DED wakamilika

Geita. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Geita imekamilisha uchunguzi safari ya China aliyokwenda aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi. Uchunguzi huo ulioanza mwanzoni mwa Novemba 2023, ulitokana na agizo la aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Geita, Cornel Magembe la kuitaka Taasisi hiyo kuchunguza safari ya mkurugenzi…

Read More