Admin

Undani wa ugomvi wa Morocco, Algeria ni huu

NAKUMBUKA ilikuwa Januari 2022, wakati mashindano ya AFCON 2021, yanaendelea kule Cameroon. Baada ya mchezo wa hatua ya makundi kati ya Algeria na Ivory Coast kumalizika na kupoteza kwa mabao 3-0 niliona kundi kubwa la rafiki zangu wa Morocco kwenye status za mtandao wa WhatsApp wakifurahia kipigo hicho ambacho kilisababisha Algeria iishie hatua ya makundi….

Read More

Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali nchini zimesababisha vifo vya watu 155 na wengine 236 kujeruhiwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Pia amesema kulingana na utabiri wa hali ya hewa unaonesha kuwa mvua za masika zitaendelea kunyesha hadi…

Read More

TBL, IFC na COPRA wahimiza mfumo wa kilimo cha mkataba

*Lengo ni kuwezesha ufadhili kwa wakulima na ugavi na kusaidia kuiweka Tanzania kama kapu endelevu la chakula kwa ukanda huu *Soko linalofanya kazi vizuri linaweza kuchochea uzalishaji wa kilimo, ukuaji wa uchumi na kutengeneza nafasi za kazi Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) na Mamlaka…

Read More

Magari yakwama, madereva walala njiani Kilolo

Iringa. Wakati madereva wakilia kulala njiani baada ya magari yao kukwama, Mbunge wa Kilolo, Justine Nyamoga ameiomba Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (Tarura) kutengeneza maeneno korofi kwa kutumia zege ili barabara ziweze kupitike. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha, hali ya barabara imezidi kuwa mbaya katika baadhi ya maeneo, jambo linalosababisha magari kukwama na wananchi…

Read More