
Ahadi Katiba mpya zawaibua Warioba, wanasheria nguli
Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Jo-seph Warioba amesema licha ya ahadi za kuvutia kuhusu uanzishwaji wa mchakato wa Katiba mpya, nyuma ya kauli hizo kuna kikwazo cha utashi wa kisiasa kinachodhoofisha upatikanaji wake. Amesema kutokana na kikwazo hicho mara nyingi tume na taasisi zinazoundwa kuhusiana na suala hilo, huegemea zaidi katika masilahi binafsi…