Admin

Iko wapi nchi ya asali na maziwa kwa wastaafu?

Miaka 48 iliyopita wakati tukianza ajira moja kwa moja kutoka shule, mashirika, kampuni za umma na binafsi zilituajiri bila kulazimika kuwa na tochi kutafuta ajira, kama ilivyo sasa, tulikuwa tunaelekea kwenye nchi ya asali na maziwa. Kibubu pekee kilichokuwepo enzi hizo cha akiba ya wafanyakazi cha NPF, kikaanza kutuwekea akiba iliyoikata kutoka kwenye mishahara yetu…

Read More

π—žπ—”π— π—œπ—¦π—›π—‘π—” π—”π—œπ—£π—’π—‘π—šπ—˜π—­π—” π—‘π—˜π— π—– π—žπ—ͺ𝗔 π—¨π—”π——π—œπ—Ÿπ—œπ—™π—¨ π—žπ—”π—§π—œπ—žπ—” π—¨π—§π—¨π— π—œπ—¦π—›π—œ π—ͺ𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔

Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro amelipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kuendelea kuonesha uadilifu na uwajibikaji katika kutekeleza majukumu yake ya kusimamia na kuhifadhi mazingira nchini. Akizungumza leo 23 Oktoba, 2025 jijini Dar es Salaam katika ziara yake ya kikazi ofisi za Baraza Dkt….

Read More

Meta Yapanga Kuondoa Wafanyakazi 600 Katika Kitengo cha AI – Global Publishers

Last updated Oct 24, 2025 Kampuni ya Meta, hapo awali inayojulikana kama Facebook, imepanga kuondoa takriban wafanyakazi 600 kutoka katika kitengo chake cha AI, hatua inayolenga kurekebisha muundo wa kazi na kuongeza ufanisi wa timu. Wafanyakazi hao walihusiana na Meta Superintelligence Labs, kitengo kinachojihusisha na utafiti na maendeleo ya mifumo ya akili bandia. Alexandr…

Read More

WANAWAKE HANDENI KUPATA FURSA YA UCHUNGUZI WA MAPEMA WA SARATANI YA MATITI

β€ŽHandeni TC β€Ž β€ŽHospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni kwa kushirikiana na Shirika lisilo la Kiserikali Jhpiego na Pfizer Foundation wamezindua uchunguzi wa awali wa saratani ya matiti kwa wanawake ili kupunguza vifo vitokanavyo na ugonjwa huo. β€Ž β€ŽAkizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dkt. Hudi Muradi, amewataka wakazi wa Handeni…

Read More

Athari za mitandao ya kijamii kwa afya ya akili

Dar es Salaam.Β Watu wengi hivi sasa ni wapekuaji hodari wa mitandao ya kijamii ikiwamo WhatsApp, Instagram, Facebook, TikTok na mitandao mingine. Mwaka 2023 kulikuwa na wastani wa watumiaji bilioni 4.9 wa mitandao ya kijamii ulimwenguni, ikikadiriwa mtu wa kawaida kutumia wastani wa dakika 145 kwenye mitandao hiyo kila siku. Matumizi holela ya mitandao yanaweza kuathiri…

Read More

Siri, makosa upigaji wa chafya

Kupiga chafya ni tendo la kawaida la kibinadamu ambalo huchukuliwa kama jambo la kawaida kiasi kwamba watu wengi hawalipi uzito.Β  Hata hivyo, nyuma ya tendo hili dogo la kiafya kuna mchakato wa ajabu wa mwili unaotimiza majukumu muhimu ya kinga. Kupitia vyanzo mbalimbali vya kimtandao, makala haya, itaangazia kwa undani siri iliyofichika nyuma ya chafya,…

Read More

Serikali isimamie lebo za lishe kwenye vyakula

Katika muktadha wa ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza kama vile kisukari, shinikizo la damu, unene uliopitiliza na magonjwa ya moyo, Tanzania inakumbwa na changamoto ya kimfumo inayohitaji suluhisho la kitaifa. Moja ya maeneo muhimu ya kuingilia kati ni sekta ya lishe, hasa kwenye udhibiti wa vyakula vilivyofungashwa ambavyo vimekuwa sehemu kubwa ya milo ya Watanzania wengi…

Read More

Haki ya malezi ya mtoto wanandoa wanapotengana

Dar wa Salaam. Lengo kuu la sharia ya Kiislamu ni kutimiza manufaa na kuzuia madhara. Sharia hii tukufu imehakikisha haki za watu binafsi na jamii nzima za kibinadamu.Β  Miongoni mwa uzuri wa sharia ya Kiislamu ni kulinda haki za wanyonge, ikiwemo makundi maalumu kama watoto.Β  Kwa ajili yao, Uislamu umeweka kanuni za jumla pamoja na…

Read More