 
        
            Iko wapi nchi ya asali na maziwa kwa wastaafu?
Miaka 48 iliyopita wakati tukianza ajira moja kwa moja kutoka shule, mashirika, kampuni za umma na binafsi zilituajiri bila kulazimika kuwa na tochi kutafuta ajira, kama ilivyo sasa, tulikuwa tunaelekea kwenye nchi ya asali na maziwa. Kibubu pekee kilichokuwepo enzi hizo cha akiba ya wafanyakazi cha NPF, kikaanza kutuwekea akiba iliyoikata kutoka kwenye mishahara yetu…
 
                         
                         
                         
                         
                         
                         
         
         
         
         
        