Admin

TRA United v Simba waahirishwa, kupangwa siku nyingine

Mchezo wa Ligi Kuu Bara baina ya Simba dhidi ya TRA United umeahirishwa kutokana na miundombinu ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kujaa maji kutona na mvua zinazonyesha maeneo mbalimbali ya nchi.  Akizungumza na Azam TV, Kamishna wa mchezo huo Mussa Nyamandege amethibitisha kuhairishwa kwa mchezo huo wa ligi baada ya mvua kubwa kunyesha na…

Read More

Kili Marathon Yatangaza barabara zitakazofungwa siku ya mbio

  Wiki moja tu kabla ya kuanza kwa Kilimanjaro Premium Lager International Marathon, waandaaji wa mbio hizi zenye hadhi ya kimataifa wametoa mwongozo wa kina kwa wananchi na washiriki, ikiwemo taarifa za kufungwa kwa barabara, maegesho, na masuala mengine ya kiitifaki. Tukio hili linalosubiriwa kwa hamu kubwa litafanyika Jumapili, Machi 22, 2026, katika Chuo Kikuu…

Read More

Heri ya Ramadhani Yaja Na Msaada wa Vyakula Kutoka Meridianbet

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Katika kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa vitendo, Meridianbet imeleta tabasamu kwa wakazi wa Dar es Salaam kwa msaada wa vyakula na mahitaji muhimu ya nyumbani kwa familia zenye uhitaji. Msaada huo umefika katika kipindi hiki ili kuwasaidia waumini na wananchi wengine kuendelea kufunga mwezi wa Ramadhani kwa…

Read More

TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa, mafuriko

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeonya kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya nchi zinaweza kusababisha mafuriko, kuharibu miundombinu na kuathiri shughuli za uvuvi katika maeneo ya pwani. Taarifa iliyotolewa na TMA imetaja maeneo yanayotarajiwa kuathirika ni pamoja na mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani pamoja na visiwa…

Read More

Mradi wa Sh3.1 bilioni kuwasha umeme vitongoji sita ukanda wa Ziwa Nyasa

Ludewa. Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) imetoa Sh3.1 bilioni kutekeleza  mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji sita vilivyopo ukanda wa Ziwa Nyasa, wilayani Ludewa mkoani Njombe. Mradi huo ulianza kutekelezwa Julai 13, mwaka 2025 na unatarajiwa kukamilika Aprili 13, 2026, ukilenga kuwapatia huduma ya umeme wateja wa awali takribani 160. Akizungumza katika ziara ya kutembelea…

Read More

WANANCHI DULUTI WAIBUKA NA MKAKATI WA KUPANDA MITI KULINDA BARABARA

📌Miundombinu mipya imerahisisha usafirishaji wa vikonyo vya mimea na kuchochea maendeleo Arumeru Arumeru, Arusha Wananchi wa kijiji cha Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha wameweka mkakati wa kupanda miti kandokando ya barabara mpya ya lami ya Sangisi-Nambala yenye urefu wa Km 4.2 iliyojengwa katika eneo hilo ili kulinda miundombinu dhidi ya mmomonyoko wa ardhi na kuhakikisha…

Read More

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa wakati wa Kikao cha Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi kilichofanyika mwaka 2024 lengo ikiwa kuifanyia maboresho Shule cha Polisi Kilimanjaro ambacho kinakabiliwa na uchakavu wa Majengo ambayo yalijengwa tangu  mwaka 1933…

Read More