Admin

TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa, mafuriko

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeonya kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya nchi zinaweza kusababisha mafuriko, kuharibu miundombinu na kuathiri shughuli za uvuvi katika maeneo ya pwani. Taarifa iliyotolewa na TMA imetaja maeneo yanayotarajiwa kuathirika ni pamoja na mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani pamoja na visiwa…

Read More

Mradi wa Sh3.1 bilioni kuwasha umeme vitongoji sita ukanda wa Ziwa Nyasa

Ludewa. Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) imetoa Sh3.1 bilioni kutekeleza  mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji sita vilivyopo ukanda wa Ziwa Nyasa, wilayani Ludewa mkoani Njombe. Mradi huo ulianza kutekelezwa Julai 13, mwaka 2025 na unatarajiwa kukamilika Aprili 13, 2026, ukilenga kuwapatia huduma ya umeme wateja wa awali takribani 160. Akizungumza katika ziara ya kutembelea…

Read More

WANANCHI DULUTI WAIBUKA NA MKAKATI WA KUPANDA MITI KULINDA BARABARA

📌Miundombinu mipya imerahisisha usafirishaji wa vikonyo vya mimea na kuchochea maendeleo Arumeru Arumeru, Arusha Wananchi wa kijiji cha Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha wameweka mkakati wa kupanda miti kandokando ya barabara mpya ya lami ya Sangisi-Nambala yenye urefu wa Km 4.2 iliyojengwa katika eneo hilo ili kulinda miundombinu dhidi ya mmomonyoko wa ardhi na kuhakikisha…

Read More

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa wakati wa Kikao cha Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi kilichofanyika mwaka 2024 lengo ikiwa kuifanyia maboresho Shule cha Polisi Kilimanjaro ambacho kinakabiliwa na uchakavu wa Majengo ambayo yalijengwa tangu  mwaka 1933…

Read More

Ndoa ya Gigy Money Yafanyika Lugalo, Mastaa Wahudhuria

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Msanii mwenye hekaheka zake mjini asiyeishiwa vibwanga Gift Stanford ‘Gigy Money’ ambaye kwa sasa amebadili dini na kutumia jina la Rawya, amefunga ndoa na mpenzi wake Licky katika sherehe iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ndoa hiyo ilifungwa na kuambatana na sherehe fupi iliyofanyika katika Viwanja vya Lugalo Golf…

Read More

Gridi ya Taifa ya Maji itachochea maendeleo kwa kasi

………. Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Maji ni kimiminika muhimu kwa maisha na uhai wa viumbei. Maji hutumika kuanzia asubuhi, mchana, jioni hadi usiku. Hutumika kwa matumizi ya nyumbani kama kupikia, kufulia na kuogea. Hutumika katika shughuli za kiuchumi kama viwandani, mashambani, migodini, masokoni kutaja kwa uchache.  Maji hayana mbadala, panapohitajika maji, hakuna namna nyingine…

Read More

Shigongo Aungana na Wananchi Buchosa Kumuaga Juma Maanda

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, ametoa pole kwa familia ya marehemu Juma Maanda aliyefariki dunia, alipofika kuwafariji ndugu na jamaa pamoja na kuhudhuria maziko yaliyofanyika katika Kijiji cha Bupandwa Village, Kata ya Bupandwa Ward ndani ya Jimbo la Buchosa Constituency. Akizungumza katika maziko hayo, Shigongo aliwaomba…

Read More