Admin

Vita mpya bodaboda wakilia mikataba ya kinyonyaji

Dar/Mara. Biashara ya usafirishaji abiria kwa kutumia pikipiki maarufu kama bodaboda imegeuka ajira kubwa nchini ikiwa na mambo mengi ndani yake. Wapo wenye pikipiki zao wenyewe, wapo wanazikodi na kurejesha hesabu kwa tajiri (mmiliki) kila siku na wapo wenye mikataba, kwamba baada ya kurejesha fedha za mmiliki pikipiki inabaki mali yao. Utaratibu huu wa mkataba,…

Read More

Saa 4 kabla ya mechi, Kwa Mkapa jua kaliii

Zikiwa zimesalia takribani saa nne ili kuchezwa kwa mechi ya Watani wa Jadi Yanga dhidi ya Simba, hali ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, imepoa. Wakati saa zikizidi kusogea na jua likiwa kali katika maeneo ya uwanja, mpaka sasa hali bado si ya kuridhisha kwa upande wa mashabiki. Rangi zinazoonekana kwa wingi maeneo haya ni kijani…

Read More

Karatu wahamisha wanaoishi mabondeni | Mwananchi

Arusha. Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha imeendelea kuwahamisha wananchi wanaoishi mabondeni na kuwapeleka maeneo maalumu yaliyotengwa, ili kuepukana na athari za maafa ya mafuriko.  Jana, halmashauri hiyo ilifanya vikao vya Kamati za Maendeleo ya Kata (WDC) katika kata zote wilayani humo, ili kutambua maeneo yaliyoathirika na mvua zinzoendelea kunyesha. Akizungumza na Mwananchi Digital…

Read More

‘Fanyeni utafiti ughaibuni kujifunza mambo mapya’

Iringa. Mwenyekiti wa Chama cha Historia Tanzania na Mdhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk Maxmilian Chuhula amesema ipo haja kwa wasomi wa vyuo vikuu kufanya utafiti nje ya nchi, ili mbali ya kuongeza maarifa, wajifunze tabia na desturi mataifa mengine.  Amesema ni rahisi wasomi hao kuja na maandiko yatakayosaidia kuikomboa jamii…

Read More

Makada Chadema kumkabili Lema Kaskazini

Mbeya. Wakati vigogo wa Chadema Kanda za Victoria, Serengeti, Nyasa na Magharibi wakipigana vikumbo kuchukua na kurejesha fomu za kuwania uongozi, baadhi ya makada wa Kanda ya Kaskazini nao wanajipanga kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.  Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Chadema, uchaguzi wa kanda nne utafanyika Mei mwaka huu na nafasi zinazogombewa katika uchaguzi huo…

Read More

Kakolanya aigomea Singida | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya Kamati ya Nidhamu ya Singida Fountaine Gate kumuandikia barua kipa wao, Beno Kakolanya kwa ajili ya kujibu tuhuma zinazomkabili za kutoroka kambini na kuihujumu timu, staa huyo ameitikia wito huo, lakini amekataa kuhudhuria kikao. Kwa mujibu wa Singida Fountaine Gate, Kakolanya amejibu barua ya wito kuwa hataweza kufika kwenye kikao cha…

Read More

Yanga kutembea na upepo wa Arajiga leo?

YANGA inashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11:00 jioni kupambana na watani zao, Simba, huku timu hiyo ikiwa na rekodi bora msimu huu wakati michezo yao ya Ligi Kuu Bara ilipochezeshwa na mwamuzi wa kati, Ahmed Arajiga. Arajiga kutokea mkoani Manyara ndiye aliyepewa jukumu la kutafsiri sheria 17 za soka baina ya timu hizo, huku…

Read More

Sababu aliyekuwa CDF Kenya kuzikwa bila jeneza

Dar es Salaam. Marehemu Francis Ogalla aliyekuwa Mkuu wa Majeshi nchini Kenya, atazikwa pasipo mwili wake kuwekwa kwenye jeneza, kaka yake mkubwa Canon Hezekiah ameeleza.  Jenerali Ogalla alifariki dunia Aprili 18, 2024 baada ya helikopta aliyokuwa akisafiria pamoja na maofisa wengine tisa wa Jeshi kuanguka. Kifo cha kiongozi huyo mkuu wa Jeshi nchini Kenya kilitangazwa…

Read More