Admin

 Simbachawene amjibu Mpina | Mwananchi

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amemshukia mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimtaka kutodharauliana. Simbachawene amesema hayo leo Aprili 19, 2024 alipojibu hoja za wabunge walizotoa walipochangia bajeti ya ofisi yake kwa mwaka wa fedha 2024/25. Amesema nchi ambayo Mpina anasema imefeli inawezaje kutekeleza…

Read More

Diarra dhidi ya Lakred | Mwanaspoti

WAKATI homa ya pambano la Ligi Kuu Bara kati ya vinara wa ligi, Yanga dhidi ya Simba likizidi kupanda kutakuwa na vita nyingine mpya kwenye eneo la makipa wa timu hizo mbili. Hapana shaka Yanga golini nafasi kubwa itakuwa kwa kipa namba moja, Djigui Diarra ambaye sio mgeni wa mechi hizo akicheza mechi yake ya…

Read More

Watoto wa mitaani wafunguka wanayoyapitia

Arusha. Dharau, lugha za matusi na vipigo vya mara kwa mara wakati mwingine bila kosa, ni baadhi ya madhila wanayokumbana nayo watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani. Ili kuondokana na hilo, wameiomba Serikali kuwakusanya pamoja na kuwapatia elimu ya ujasiriamali, mikopo ya vijana hasa wale waliosogea umri. Wamesema lengo la kuhitaji kupatiwa mtaji ni waweze…

Read More

Kapombe aipiga mkwara mzito Yanga

Beki mkongwe wa Simba, Shomari Kapombe amesema watatumia mchezo wa kesho kurudisha matumaini ya kutwaa taji msimu huu huku akikiri wananafasi kubwa ya kufanya hivyo. Kapombe amesema benchi la ufundi limefanyia kazi maeneo yote lakini matatu ndio yalifanyiwa kazi kwa usahihi zaidi lengo likiwa ni kufikia malengo yao. “Kocha ameangalia makosa kwenye mechi zilizopita amehakikisha…

Read More

ACB yazindua kadi ya Visa kukidhi matarajio ya wateja

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Benki ya Akiba (ACB) imezindua huduma ya kadi za VISA ambazo ni mahususi kwa kufanya miamala ya kifedha na ina uwezo wa kutumika sehemu yoyote duniani. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Mkurugenzi Mtendaji wa ACB, Silvest Arumasi, amesema benki inafanya maboresho makubwa ya huduma za kifedha kwa wateja wake ili…

Read More