Admin

Ayoub atwishwa zigo la lawama Kariakoo Dabi

KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha amemuanzisha kipa  Ayoub Lakred katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya watani zao, Yanga. Ayoub aliyesajiliwa na timu hiyo msimu huu, huo utakuwa mchezo wake wa kwanza wa Dabi ya Kariakoo kucheza tangu aliposajiliwa akitokea klabu ya Far Rabat ya Morocco. Katika kikosi cha Simba kinachoanza leo dhidi ya Yanga ni…

Read More

Yao arejea Yanga baada ya dakika 360

BAADA ya kukosekana katika michezo minne iliyopita sawa na dakika 360, hatimaye beki wa kulia wa Yanga, Attohoula Yao amerejea uwanjani kwa kupangwa kuanza katika mchezo wa watani wa jadi dhidi ya Simba ambao unachezwa leo, Jumamosi kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa. Yao ambaye alipata majeraha katika mchezo wa ligi dhidi ya Azam, alikosa mechi mbili…

Read More

Pacome amuangukia Gamondi, kocha amgomea

SAA chache kabla ya Yanga kuanza safari ya kuja uwanjani kiungo wa timu hiyo amewasilisha maombi kwa kocha wake ampe hata dakika 20 za mchezo huo. Taarifa kutoka ndani ya Kambi ya Yanga ni kwamba baada ya kiungo huyo kufanya mazoezi vizuri ya siku tatu na kikosi hicho, akawasilisha maombi hayo kwa Gamondi, lakini akagoma….

Read More

Mtumishi Hanang atupwa jela miaka 20 kwa wizi wa Sh3.5 milioni

Hanang’. Aliyekukuwa mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, Petro Muray amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana na hatia ya ubadhirifu wa mali ya umma.  Pamoja na adhabu hiyo, Muray ametakiwa kurejesha Sh3.5 milioni alizoisababishia hasara halmashauri hiyo. Muray aliyekuwa mkusanya mapato kwa kutumia mashine ya POS wa halmashauri hiyo,…

Read More

Mtumishi Hanang atupwa jela miaka 20 kwa wizi wa Sh3.5 mililioni

Hanang’. Aliyekukuwa mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, Petro Muray amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana na hatia ya ubadhirifu wa mali ya umma.  Pamoja na adhabu hiyo, Muray ametakiwa kurejesha Sh3.5 milioni alizoisababishia hasara halmashauri hiyo. Muray aliyekuwa mkusanya mapato kwa kutumia mashine ya POS wa halmashauri hiyo,…

Read More

Kaya saba zakosa makazi, Mto Kiwira ukiporomosha udongo

Mbeya. Maisha ya wananchi wilayani Rungwe Mkoa wa Mbeya yako hatarini, baada ya maji ya Mto Kiwira kumong’onyoa udongo na kuharibu barabara inayounganisha vijiji Kapugi na Lyenje na nyumba saba, huku nyingine 34 zikiwa hatarini.  Kutokana na hali hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Huniu amewataka wananchi wa kijiji cha Lwenje kuchukua tahadhari na…

Read More

Vita mpya bodaboda wakilia mikataba ya kinyonyaji

Dar/Mara. Biashara ya usafirishaji abiria kwa kutumia pikipiki maarufu kama bodaboda imegeuka ajira kubwa nchini ikiwa na mambo mengi ndani yake. Wapo wenye pikipiki zao wenyewe, wapo wanazikodi na kurejesha hesabu kwa tajiri (mmiliki) kila siku na wapo wenye mikataba, kwamba baada ya kurejesha fedha za mmiliki pikipiki inabaki mali yao. Utaratibu huu wa mkataba,…

Read More

Saa 4 kabla ya mechi, Kwa Mkapa jua kaliii

Zikiwa zimesalia takribani saa nne ili kuchezwa kwa mechi ya Watani wa Jadi Yanga dhidi ya Simba, hali ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, imepoa. Wakati saa zikizidi kusogea na jua likiwa kali katika maeneo ya uwanja, mpaka sasa hali bado si ya kuridhisha kwa upande wa mashabiki. Rangi zinazoonekana kwa wingi maeneo haya ni kijani…

Read More

Karatu wahamisha wanaoishi mabondeni | Mwananchi

Arusha. Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha imeendelea kuwahamisha wananchi wanaoishi mabondeni na kuwapeleka maeneo maalumu yaliyotengwa, ili kuepukana na athari za maafa ya mafuriko.  Jana, halmashauri hiyo ilifanya vikao vya Kamati za Maendeleo ya Kata (WDC) katika kata zote wilayani humo, ili kutambua maeneo yaliyoathirika na mvua zinzoendelea kunyesha. Akizungumza na Mwananchi Digital…

Read More