Admin

Maeneo kumi ya vipaumbele yaainishwa bajeti ya ofisi ya rais mipango na uwezekaji

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), amewasilisha bajeti ya wizara yake yenye vipaumbele 10 vitakavyotekelezwa mwaka 2024/25. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25 leo Bungeni jijini Dodoma, Prof. Mkumbo amesema kuwa bajeti hiyo imebeba malengo ya kuratibu mipango thabiti inayolenga kuleta maendeleo endelevu na…

Read More

Kiongozi mbio za mwenge atoa maagizo haya kwa viongozi

Katika kuendelea kuboresha utendaji Kazi Kwa Viongozi wa taasisi za serikali Kiongozi wa Mbio za mwenge wa uhuru kitaifa 2024 Godfrey Mnzava amewataka kutekeleza takwa la Kisheria matumizi ya Mfumo wa manunuzi kidigitali kwenye utekelezaji wa Miradi pamoja na utoaji zabuni kwenye maeneo yao, kuepusha mianya ya rushwa pia uwazi wa mchakato wa zabuni kwa…

Read More

Mvua yasababisha barabara nne kufungwa Dar

Dar es Salaam. Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha kufungwa kwa baadhi ya barabara mkoani Dar es Salaam. Maeneo ambayo barabara zimefungwa ni Jangwani, Mkwajuni, Africana, na ya kutokea Kibada kuelekea Kisarawe 2, ambako daraja limevunjika na kukata mawasiliano. Kwa mujibu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dar es Salaam, kufungwa kwa barabara hizo kumesababishwa na…

Read More

Msisitizo watolewa mashuleni kwa wanafunzi na wazazi

Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wamesisitizwa kuwa na nidhamu shuleni, kuzingatia masomo ili waweze kufanya vizuri kitaluma,kufaulu na kutimiza ndoto zao. Msisitizo huo umetolewa na Katibu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Mungu Tanzania REV-Dismus Mofulu alipokuwa akizungumza katika Maafali Ya Kidato Cha Sita Katika Shule ya Sekondari ALDERZGETI iliyopo Babati Mkoani Manyara Amesema…

Read More

Tanzania nafasi ya 3 kwa tembo wengi barani Afrika

Imeelezwa kuwa Tanzania inaongoza kwa idadi kubwa ya simba, nyati, na chui huku ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na tembo wengi barani Afrika hivyo itachochea ongezeko la watalii na kufikia malengo ya serikali ya kufikisha idadi ya watalii milioni tano ifikapo 2025. Takwimu hizo zimetolewa na mkurugenzi wa taasisi ya utafiti wa wanyamapori Tanzania…

Read More

IMF NA EAC WAJADILI UKUSANYAJI MAPATO YA NDANI KWA AJILI YA MAENDELEO

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akizungumza katika mkutano uliotishwa na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF na kuwakutanisha Wadau kutoka nchi za Afrika Mashariki, wakati wa mikutano ya Kipupwe (Spring Meetings), jijini Washington D.C nchini Marekani, ambapo walijadili namna nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zinavyoweza kujitegemea kwa kuboresha na…

Read More

WAZIRI MAVUNDE  ASIKILIZA CHANGAMOTO ZA WADAU WA MADINI NCHINI

Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde leo Aprili 22, 2024 jijini Dodoma amekutana na wafanyabiashara wa madini na wachimbaji wa madini kwa lengo la kusikiliza changamoto zinazowakabili kwenye shughuli zao ikiwemo changamoto ya ukosekanaji wa teknolojia ya uchenjuaji wa baadhi ya madini na hivyo kuielekeza Tume kuandaa utaratibu sahihi wa usafirishaji wa madini yaliyongezwa thamani…

Read More