Admin

Taliss mabingwa mashindano ya Taifa ya Klabu

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Timu ya mchezo wa kuogelea ya Taliss, imeibuka mabingwa wa jumla wa mashindano ya Taifa ya Klabu baada ya kujikusanyia pointi 385. Katika mashindano hayo ya siku mbili yaliyomalizika leo Aprili 21,2024, mshindi wa pili ni Dar Swimming iliyopata pointi 330 , namba tatu ni Mwanza Club yenye alama 96,…

Read More

Ulinzi Yawachezesha Kwata Wapinzani Katika Darts

Bingwa wa mchezo wa vishale (Darts) wanawake Scholastica Kaizer kutoka wa timu ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (Ulinzi Sports Club) akionesha utaalamu wake wakati wa michuano ya Kombe la Mei Mosi Taifa 2024 inayoendelea Jijini Arusha. Na Mwandishi Wetu, Arusha WACHEZAJI Omary Mmbaga na Scholastica Kaizer wa timu ya Wizara ya…

Read More

WAZIRI NDEJEMBI-SERIKALI INAYAFANYIA KAZI MAPENDEKEZO MABORESHO SHERIA YA FIDIA KWA WAFANYAKAZI

  NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, KIGOMA WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu), Mhe. Deogratius Ndejembi amewahakikishia Majaji wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi na wadau wengine kuwa, Serikali inayachukulia kwa uzito mkubwa maoni yao kuhusu kuboresha baadhi ya vifungu vya sheria ya fidia kwa wafanyakazi wanaoumia, kuugua ama…

Read More

MNYAMA KATEPETA TENA MBELE YA WANANCHI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU ya Yanga imeendelea kutamba mbele ya watani wao Simba Sc mara baada ya kufanikiwa kuichapa 2-1 kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam. Katika mchezo ambao Yanga walianza kupata bao kupitia kwa Aziz Ki kwa mkwaju wa penati baadae Joseph Guede kupachika bao la pili akipokea pasi…

Read More