
MHE. KATAMBI ATETA NA VIONGOZI TUCTA KUELEKEA SHEREHE ZA MEI MOSI 2024
Na; Mwandishi Wetu – Arusha NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi Vijana na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amekutana na kufanya kikao na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA). Aidha, Kikao hicho kililenga kujadili maandalizi ya maadhimisho ya sherehe za…