Admin

Eti tusiwachape watoto wakikosea, tuwafanyeje?

Dar es Salaam. Mwaka jana nilipata bahati ya kutembelea sehemu zaidi ya tatu ambazo wazazi na walezi hawaruhusiwi kupiga watoto wao viboko. Na ninaposema hawaruhusiwi namaanisha hawaruhusiwi kwelikweli, sio ile ya tangazo tu, kwamba inakuja serikali au uongozi unatangaza kuwa hauruhisiwi kumchapa viboko mtoto, kisha wakimaliza kutangaza na kuondoka huku nyuma wazazi wanaweza kuendelea kuwacharaza…

Read More

Madhara kuyapa kisogo malezi ya mtoto wa kiume

Dar es Salaam. Uwezeshwaji katika nyanja na fursa mbalimbali kwa watoto wa kike umeshuhudiwa kwa kiasi kikubwa katika zama hizi ambapo kuna namna mtoto wa kiume anasahaulika, wadau mbalimbali wameibuka wakitaja athari zake, huku wakitaka mtoto wa kiume pia akumbukwe na kuwekewa nguvu kama ilivyo kwa mtoto wa kike. Hata hivyo, katika maisha, hususan Afrika…

Read More

Watu 50 pekee kushiriki mazishi ya CDF Ogolla

Kenya. Watu 50 pekee watashiriki kumzika aliyekuwa Mkuu wa majeshi ya Kenya, Jenerali Francis Ogolla, tovuti ya Nation nchini humo imeripoti. Miongoni mwa watu hao atakuwemo Rais wa Kenya, William Ruto, maofisa wa ngazi za juu wa jeshi, maofisa waandamizi wa Serikali na wanafamilia. Hata, hivyo mazishi hayo yameibua gumzo kutokana na kuwa si kawaida…

Read More

Yanga yaitawala Simba nje ndani

Ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu unazidi kuikaribia Yanga na sasa inahitajika kupata ushindi katika mechi tano na sare moja kati ya mechi nane ilizobakiza ili ijihakikishie ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo pasipo kutegemea matokeo ya timu nyingine, lakini jingine kubwa ni matokeo ya jumla ya mabao 7-2 na pointi sita ambavyo Wananchi…

Read More

Aziz Ki: Nimeahidi, nimetimiza | Mwanaspoti

Kiungo wa Yanga SC, Stephanie Aziz Ki, amesema ana furahi kuona ile ahadi yake ya kufunga bao katika Kariakoo Dabi, ameitimiza. Aziz Ki alimuahidi Mjumbe wa Baraza la Wadhamini la Yanga, Antony Mavunde ambaye pia ni Waziri wa Madini na Mbunge wa Dodoma Mjini, kwamba atafunga bao kwa ajili yake na kweli amefanya hivyo baada…

Read More

Gamondi, Benchikha wakutana na sapraizi Kwa Mkapa

Unaweza kusema ni kama makocha wa timu zote mbili, Miguel Gamondi wa Yanga na Abdelhak Benchikha wa Simba wamekutana na sapraizi, baada ya kulazimika kufanya mabadiliko ya mapema zaidi. Kwa kawaida, mabadiliko ya wachezaji kwenye mechi hufanyika kiufundi, lakini jana makocha hao walilazimika kuyafanya mapema bila ya kutarajiwa. Alianza Gamondi kufanya mabadiliko ya kumtoa Joyce…

Read More

DORIS MOLLEL, ORYX GAS KUTOA NISHATI SAFI KWA WAUGUZI 1000 – MWANAHARAKATI MZALENDO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wamekabidhi mitungiya gesi ya kupikia ya Oryx 50 kwa wauguzi katika Hospitali ya Rufaa yaMwananyamala jijini Dar es Salaam kati ya mitungi  1000  inayotarajiwakukabidhiwa kwa wauguzi na madaktari katika mikoa 10 nchini . Akizungumzawakati wakisaini makubaliano ya ushirikiano yaliyofanyika katikahospitali…

Read More