Admin

BALOZI NCHIMBI AKIWASILI KATIKA JIMBO LA BIHARAMULO MAGHARIBI

Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasili katika uwanja wa mpira CCM Majengo,katika jimbo la Biharamulo Magharibi mkoa wa Kagera,ambapo baadae atawatubia Wananchi waliofika kumsikiliza leo Jumamosi Septemba 6,2025 akitokea mkoa wa Kagera. Dkt Nchimbi anaendelea na mikutano yake ya kampeni nchi nzima, kusaka kura za ushindi…

Read More

Makada 18 wa Chadema washikiliwa na polisi

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikiliwa watuhumiwa 18, akiwamo Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Felius Kinimi, wakituhumiwa kufanya mikusanyiko iliyo kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao leo Septemba 6, 2025, akisema wamekamatwa eneo la…

Read More

KUPATWA KWA MWEZI KESHO SEPT 7

…………….. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya tukio la kupatwa kwa Mwezi linalotarajiwa kutokea kesho tarehe 7 Septemba 2025. Kwa mujibu wa Taarifa hiyo imeeleza kuwa Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa…

Read More

Ahadi Katiba mpya zawaibua Warioba, wanasheria nguli

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Jo-seph Warioba amesema licha ya ahadi za kuvutia kuhusu uanzishwaji wa mchakato wa Katiba mpya, nyuma ya kauli hizo kuna kikwazo cha utashi wa kisiasa kinachodhoofisha upatikanaji wake. Amesema kutokana na kikwazo hicho mara nyingi tume na taasisi zinazoundwa kuhusiana na suala hilo, huegemea zaidi katika masilahi binafsi…

Read More

Wananchi wamtwisha kero Nchimbi wakitaka halmashauri ya Katoro, aahidi hospitali mpya

Chato. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM), ikiahidi miradi mbalimbali Mkoa wa Geita, wananchi wa Katoro wametaka Halmashauri ya Geita Vijijini igawanywe ili kuwapunguzia adha ya kutembelea zaidi ya kilomita 80 kufuata huduma. Novemba 4, 2019, Halmashauri ya Geita ilihamia Kata ya Nzera iliyopo Jimbo la Geita Vijijini. Wananchi wanataka igawanywe iwe Halmashauri ya Geita na…

Read More

BENDERA ZA CHADEMA ZIKIPEPEA KWA MADAHA KUFURAHIA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CCM…

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Njombe KUNA mambo yanaleta raha Kiasi kwamba hata wale ambao hawana nafasi ya kuzungumza basi hutumia mbinu mbalimbali kufikisha ujumbe kwa jamii inayozunguka Leo Septemba 6,2025 wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) ukifanyika katika Jimbo la Makambako mkooni Njombe pamoja na kuwepo na mabango mbalimbali yaliyokuwa…

Read More

Mizani, bei duni, unyanyapaa vyawaliza waokota taka rejeshi

Dar es Salaam. Waokota taka rejea jijini Dar es Salaam wameeleza changamoto mbalimbali zinazowakabili katika kazi yao ya kukusanya na kuuza taka zinazoweza kutumika tena, wakitaja kunyanyapaliwa na jamii, bei duni, mizani ya udanganyifu na kutotambuliwa rasmi na Serikali kuwa miongoni mwa matatizo yanayowakwamisha. Kupitia mkutano uliofanyika leo, Septemba 6, 2025, katika eneo la Masenze,…

Read More

Kipa Mzenji awataja Camara, Diarra

KIPA wa zamani wa Azam FC, Ahmed Salula anayeichezea Uhamiaji ya Zanzibar amesema makipa Djigui Diarra wa Yanga na Moussa Camara wa Simba ni chachu ya ushindani katika nafasi hiyo kwa wengine kutokana na viwango walivyo navyo vilivyowafanya kuaminiwa vikosini. Salula ambaye ni askari wa Jeshi la Uhamiaji, amesema anawafuatilia makipa hao wawili wa kigeni…

Read More