 
        
            Haki ya malezi ya mtoto wanandoa wanapotengana
Dar wa Salaam. Lengo kuu la sharia ya Kiislamu ni kutimiza manufaa na kuzuia madhara. Sharia hii tukufu imehakikisha haki za watu binafsi na jamii nzima za kibinadamu. Miongoni mwa uzuri wa sharia ya Kiislamu ni kulinda haki za wanyonge, ikiwemo makundi maalumu kama watoto. Kwa ajili yao, Uislamu umeweka kanuni za jumla pamoja na…
 
                         
                         
                         
                         
                         
                         
         
         
         
         
         
        