Mfanyabiashara wa mkaa akutwa amefariki dunia pembezoni mwa tanuru
Pangani. Mfanyabiashara wa mkaa, Michael Yohana (43), amekutwa amefariki dunia pembezoni mwa tanuru la mkaa wakati akiendelea na shughuli za kuandaa tanuru hilo kwa ajili ya uzalishaji. Akisimulia tukio hilo wakati wa shughuli za mazishi yaliyofanyika leo, Jumatano Septemba 3, 2025, katika Kijiji cha Langoni wilayani Pangani, mke wa marehemu, Sophia Marandu, amesema tukio hilo…