 
        
            DK.SAMIA AWATAKA VIJANA KUIPENDA NCHI YAO,WASIKUBALI KUDANGANYWA KUIHARIBU
Na Said Mwishehe,Michuzi TV MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ametoa rai kwa vijana nchini wasikubali kudanganyika ili kuchafua amani ya nchi. Akizungumza leo katika viwanja vya TANESCO -Buza villivyopo Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam akihitimisha mikutano yake ya…
 
                         
                         
                         
                         
                         
                         
         
         
         
        