Mamia waaga miili saba waliofariki ajali ya boti Kigoma
Kigoma. Wananchi, watumishi na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Kigoma wameanza kuwasili katika kiwanja cha mpira cha Kazegunga huku maandalizi yakiendelea kwa ajili ya shughuli ya kuaga miili ya watu saba waliokufa kwenye ajali ya boti. Ajali hiyo ya boti ilitokea jana Machi 13, 2026 katika kijiji cha Kalalangabo, watumishi hao wa Halmashauri ya Wilaya…