Admin

Mamia waaga miili saba waliofariki ajali ya boti Kigoma

Kigoma. Wananchi, watumishi na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Kigoma wameanza kuwasili katika kiwanja cha mpira cha Kazegunga huku maandalizi yakiendelea kwa ajili ya shughuli ya kuaga miili ya watu saba waliokufa kwenye ajali ya boti. Ajali hiyo ya boti ilitokea jana Machi 13, 2026 katika kijiji cha Kalalangabo, watumishi hao wa Halmashauri ya Wilaya…

Read More

MZIKI WA DKT.AGNES GIDNA WAIKUNA KAMATI YA BUNGE.

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imempongeza Afisa Uhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Agnes Gidna kutokana na umahiri, umakini, kujiamini na uchambuzi wake mkubwa wa masuala ya mambo kale na jiolojia. Wakiongozwa na mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Timotheo Mnzava wabunge hao wametoa pongezi hizo baada ya…

Read More

MAADILI YA RAMADHAN YAHIMIZWA KUDUMISHWA MBEYA

Na Mwandishi Wetu, Mbeya MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda, amewahimiza viongozi wa dini ya Kiislamu kuendelea kusimamia na kuimarisha maadili kwa waumini hata baada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Itunda ametoa wito huo wakati wa hafla ya Iftari iliyoandaliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Erica Yegella, iliyolenga…

Read More

PROF. SHEMDOE, BALOZI WA TANZANIA UFARANSA, WAJADILI MIKAKATI KUVUTIA UWEKEZAJI BONDE LA MSIMBAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe.Ali Mwadini, kujadili mikakati ya kuvutia na kutafuta wawekezaji katika eneo la Bonde  la Msimbazi lililopo jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamekubaliana kuwa na mpango madhubuti wa kutafuta wawekezaji wa kimataifa…

Read More

MIRADI SEKTA YA MAFUTA NA GESI ASILIA IKAMILIKE KWA WAKATI- DKT.MATARAGIO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio, ameitaka Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhakikisha kuwa miradi ya mafuta na gesi asilia inayoendelea nchini inatekelezwa na kukamilika kwa wakati ili iweze kuendelea kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya uchumi wa taifa. Dkt. Mataragio ametoa maelekezo hayo…

Read More

DC NYAMWESE AHIMIZA UMOJA NA MSHIKAMANO WANANCHI WA HANDENI

Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amewahimiza wananchi wa wilaya hiyo kuendelea kudumisha umoja, mshikamano na utamaduni wa kusaidiana katika jamii, hususan katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu ya Eid al-Fitr. Wito huo ameutoa wakati wa hafla maalumu ya Iftar iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Handeni, hafla…

Read More