Admin

Noela avunja mkataba, sasa kutimkia Lithuania

BEKI kisiki wa timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Noela Luhala amevunja mkataba na klabu ya 1207 Antalya Spor ya Uturuki kwa makubaliano ya pande mbili na kwa sasa anajiandaa kutimkia Lithuania katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya baridi. Noela ambaye alitua Uturuki Septemba mwaka huu, amefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na…

Read More

Meridianbet Holiday Drops, Msimu Wa Zawadi Kwako Mbashiri

HOLIDAY Drops – Christmas Edition ni tukio la kipekee linalokuja na zawadi za papo hapo, likikuletea msimu wa furaha, mshangao na ushindi usiokuwa na kipimo. Kuanzia 01 Desemba 2025 hadi 08 Januari 2026, kila mchezaji ana nafasi ya kufungua zawadi za Christmas kila alipoingia kwenye michezo iliyoteuliwa, ni ushindi wa haraka, ghafla na usiosubirishwa. Holiday…

Read More

Beki Mzenji aziingiza nne vitani

WAKATI beki wa kati wa Coastal Union, Haroub Mohamed, akibakisha miezi sita katika mkataba wake na kikosi hicho cha jijini Tanga, tayari timu mbalimbali zimeanza kuiwinda saini yake zikiwamo za KMC, TRA United na maafande wa JKT Tanzania na Mashujaa. Mtu wa karibu na nyota huyo aliliambia Mwanaspoti, licha ya ofa mbalimbali za kuhitajika, uongozi…

Read More

UN Secretary-General: Tanzania is a ‘Reference Point for Peace’, Calls for Meaningful National Dialogue Post-Election

“Tanzania continues to stand as a reference point for peace and social cohesion in Africa and the world.” These were the words of the United Nations Secretary-General, H.E. António Guterres, today upon receiving a Special Envoy carrying a message from the President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan. The message…

Read More

Hatma ya kiungo Mnigeria ipo kwa Maxime

UONGOZI wa Mbeya City huenda ukaachana na mpango wa kumtema kiungo Mnigeria, Paschal Onyedika Okoli katika dirisha dogo la Januari mwakani, baada ya awali nyota huyo kudaiwa hana furaha kutokana na kutocheza kikosi cha kwanza mara kwa mara. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo umeliambia Mwanaspoti, kiungo huyo aliyebakisha miezi sita katika mkataba…

Read More

Malindi upepo umekata visiwani | Mwanaspoti

ULE upepo mzuri ilioanza nao Malindi katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), umekata baada ya kucheza mechi saba mfululizo sawa na dakika 630 bila kuonja ushindi, huku ikielezwa tatizo ni kutimuliwa kwa makocha wasaidizi wawili kikosini. Mabingwa hao wa zamani wa Tanzania na moja ya timu zilizowahi kutamba katika michuano ya CAF miaka ya 1990, walianza…

Read More

Ushahidi butu ulivyomnusuru Bukuku kifungo miaka 20 jela

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mbeya, imemuachia huru Raphael Bukuku, aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa ya kuvunja nyumba na kuiba mali zenye thamani ya zaidi ya Sh3 milioni. Raphael na wenzake watatu( siyo warufani katika rufaa hiyo) walidaiwa kutenda makosa hayo usiku wa Desemba 28,2023 ambapo walivunja nyumba za watu…

Read More

FEDHA ZA BOOST ZALETA MAGEUZI MAKUBWA HANDENI MJI

Na Mwandishi Wetu, Handeni TC HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imefanya ziara ya mafunzo katika Halmashauri ya Mji Handeni kwa lengo la kujifunza utekelezaji wa Mradi wa BOOST unaolenga kuboresha miundombinu ya elimu ya msingi na kupunguza msongamano wa wanafunzi darasani. Katika ziara hiyo, Kamati ya Mradi wa BOOST kutoka Jiji la Tanga ilitembelea miradi…

Read More