Admin

WANAWAKE WATOA WITO: SIASA ZA STAAHA NA HOJA ZIJENGE TAIFA

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Tv ASASI za kiraia za wanawake zinazotetea haki na usawa wa kijinsia zimeitaka jamii na wadau wa siasa nchini kuhakikisha kipindi hiki cha kampeni na uchaguzi kinakuwa cha amani, heshima na hoja zenye kujenga taifa, badala ya kutumia lugha za kejeli, udhalilishaji au mashambulizi ya kibinafsi hasa kwa misingi ya kijinsia….

Read More

Mwalimu: Kapigeni kura mkifikiria mashimo mlioachiwa kwenye migodi yenu

Shinyanga. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia  Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, amewahimiza wakazi wa Shinyanga kujitokeza kupiga kura Oktoba 29, wakikumbuka mashimo yaliyosalia katika migodi yao. Mwalimu ameyasema hayo leo, Alhamisi Oktoba 23, 2025, katika mikutano ya kampeni iliyofanyika kwa nyakati tofauti kwenye majimbo ya Msalala na Itwangi,…

Read More

Sh12 bilioni zatengwa kulinda bayoanwai kwenye misitu nchini

Dar es Salaam. Jumla ya Dola za Marekani milioni 4.94  ambazo ni zaidi ya Sh12 bilioni, zimetengwa kufanikisha mradi jumuishi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kulinda bayoanwai. Mradi huo unakwenda kupunguza ukataji na uharibifu wa misitu, kuongeza upatikanaji wa nishati safi ya kupikia na kuimarisha matumizi ya nishati safi katika shughuli za utalii…

Read More

Ajali treni ya SGR ilivyoacha maswali

Dar/mikoani. Ajali ya treni ya SGR iliyotokea mapema leo katika kituo cha Ruvu mkoani Pwani, mbali na kukwamisha safari za abiria kwa muda, imeacha maswali lukuki kuhusu chanzo chake. Treni hiyo iliyokuwa ikitokea jijini Dar es Salaam, imehama njia kufuatia kile ambacho Shirika la Reli Tanzania (TRC) limekitaja “sababu za kiuendeshaji” kuwa ndiyo chanzo cha…

Read More

Khambay anatosha Babati mjini – Sumaye

Babati. Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewasihi wakazi wa mjini Babati mkoani Manyara, kumpa kura za ndiyo mgombea ubunge kupitia CCM, Emmanuel Khambay kwani atayafikia makundi yote. Sumaye ameyasema hayo kwenye kata ya Bonga mjini Babati wakati akiwanadi wagombea wa CCM akiwamo mgombea urais, Samia Suluhu Hassan, ubunge na udiwani. Amesema mgombea ubunge kupitia CCM…

Read More

Profesa Mkenda amwombea kura Rais Samia akisema ameleta mageuzi makubwa ya elimu nchini

Rombo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Profesa Adolf Mkenda, amesema kuwa mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, anastahili kuendelea kuiongoza nchi kutokana na mafanikio na mageuzi makubwa anayoyaendeleza katika sekta ya elimu nchini. Akizungumza leo Oktoba 23, 2025 katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Zahanati ya…

Read More