Admin

Shigongo Aungana na Wananchi Buchosa Kumuaga Juma Maanda

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, ametoa pole kwa familia ya marehemu Juma Maanda aliyefariki dunia, alipofika kuwafariji ndugu na jamaa pamoja na kuhudhuria maziko yaliyofanyika katika Kijiji cha Bupandwa Village, Kata ya Bupandwa Ward ndani ya Jimbo la Buchosa Constituency. Akizungumza katika maziko hayo, Shigongo aliwaomba…

Read More

Hekaya za Mlevi: Mbu tumemshindwa, kunguru je?

Dar es Salaam. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Huwa hana majivuno pale anapofaulu. Akifanikiwa hutumia mafanikio yake kwa faida ya jamii. Lakini anapofeli huyaanika madhaifu yake kwa jamii pia.  Huamini kuwa jamii inaweza kujifunza kwa kuanzia pale alipokaribia kukwama na kurekebisha. Ni kawaida ya watu wasio waungwana kuyaficha maanguko yao ili wachekelee wenzao wakiyapitia….

Read More

Wadau wa elimu wataja njia kuinua ufaulu wa hisabati

Dar es Salaam. Wakati leo Tanzania ikiungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hisabati, wadau wa elimu nchini wameeleza wasiwasi kuhusu kiwango cha ufaulu wa somo hilo wakisema bado hakiridhishi licha ya juhudi zinazofanywa na Serikali na wadau wa elimu. Wadau hao wanasema ili kuboresha ufaulu wa somo hilo ni muhimu kuimarisha…

Read More

Mitazamo tofauti ripoti tume za Ngorongoro

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Tume za Rais kuhusu mgogoro wa ardhi na uhamaji wa hiari Ngorongoro kukabidhi ripoti zake, wadau wa sheria na haki za binadamu wametoa maoni tofauti kuhusu maudhui yake, baadhi wakipongeza na wengine wakionyesha mapungufu. Wanaopongeza, wanasema ripoti zimependekeza mambo yanayogusa yaliyokuwa yanalalamikiwa, ikiwemo mabadiliko ya sheria, kutambua makosa…

Read More

Mamia waaga miili saba waliofariki ajali ya boti Kigoma

Kigoma. Wananchi, watumishi na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Kigoma wameanza kuwasili katika kiwanja cha mpira cha Kazegunga huku maandalizi yakiendelea kwa ajili ya shughuli ya kuaga miili ya watu saba waliokufa kwenye ajali ya boti. Ajali hiyo ya boti ilitokea jana Machi 13, 2026 katika kijiji cha Kalalangabo, watumishi hao wa Halmashauri ya Wilaya…

Read More

MZIKI WA DKT.AGNES GIDNA WAIKUNA KAMATI YA BUNGE.

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imempongeza Afisa Uhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Agnes Gidna kutokana na umahiri, umakini, kujiamini na uchambuzi wake mkubwa wa masuala ya mambo kale na jiolojia. Wakiongozwa na mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Timotheo Mnzava wabunge hao wametoa pongezi hizo baada ya…

Read More

MAADILI YA RAMADHAN YAHIMIZWA KUDUMISHWA MBEYA

Na Mwandishi Wetu, Mbeya MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda, amewahimiza viongozi wa dini ya Kiislamu kuendelea kusimamia na kuimarisha maadili kwa waumini hata baada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Itunda ametoa wito huo wakati wa hafla ya Iftari iliyoandaliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Erica Yegella, iliyolenga…

Read More