Ndayiragije azitamani poini tatu za Singida BS
POLISI Kenya imeanza kwa kishindo michuano ya Kombe la Kagame 2025 kwa kuifumua Garde Cotes ya Djibouti kwa mabao 4-0, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Etienne Ndayiragije amesema kwa sasa hesabu zake amezielekeza kesho Ijumaa watakapoikabili Singida Black Stars ya Tanzania. Mabingwa hao wa Kenya ambao watakashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika, walianza kwa kishindo…