CCM Yazindua Kampeni Nyehunge, Eric Shigongo Apokelewa Kwa Shangwe – Video – Global Publishers
Leo, mamia ya wananchi pamoja na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Buchosa wamefuurika kwa shangwe kubwa kumwakilisha na kumusindikiza mgombea ubunge wa jimbo hilo, Eric Shigongo, alipokuwa akiwasili kwenye uzinduzi wa kampeni za chama hicho katika kata ya Nyehunge. Uzinduzi huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa CCM kutoka…