MBUNGE LUTANDULA AWASHIKA MKONO WAISLAMU KWA IFUTARI BUSERESERE BWANGA
…… CHATO MBUNGE wa Jimbo la Chato Kusini, Pascal Lukas Lutandula, ameungana na waumini wa dini ya Kiislamu kwa kuwapatia sadaka ya Ifutari, ikiwa ni ishara ya upendo, amani na ushirikiano kwa makundi yote katika Jimbo hilo. Akikabidhi sadaka hiyo kwa niaba ya Mbunge Lutandula, Daud Makashi, amevitaja vitu vilivyokabidhiwa kuwa ni Mchele kg 300,…