Admin

Kipa Mzenji awataja Camara, Diarra

KIPA wa zamani wa Azam FC, Ahmed Salula anayeichezea Uhamiaji ya Zanzibar amesema makipa Djigui Diarra wa Yanga na Moussa Camara wa Simba ni chachu ya ushindani katika nafasi hiyo kwa wengine kutokana na viwango walivyo navyo vilivyowafanya kuaminiwa vikosini. Salula ambaye ni askari wa Jeshi la Uhamiaji, amesema anawafuatilia makipa hao wawili wa kigeni…

Read More

Kocha JKT ampa Bajana maua yake

KOCHA Mkuu wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema ongezeko la kiungo mshambuliaji Sospeter Bajana litainufaisha timu hiyo kutokana na kipaji na uwezo alionao. Ahmad alisema anaufahamu uwezo wa Bajana kwani aliwahi kufanya naye kazi walipokuwa KMC na ni miongoni mwa vipaji vikubwa nchini, hivyo anatarajia ataongeza ushindani wa namba kikosini. Bajana amejiunga na JKT Tanzania…

Read More

Wikendi ya Kutusua na Meridianbet Hapa

NI Jumamosi nyingine kabisa ya wewe mteja wa Meridianbet kupiga pesa nyingi kabisa kwani mechi za kubashiri zipo nyingi Duniani kote. Kuna mechi za kufuzu Kombe la Dunia kuanzia Africa mpaka kule Ulaya. Ingia kwenye akaunti yako na ubeti sasa. LEAGUE ONE kule Uingereza leo hii kuna mechi zinazoendelea Wycombe Wanderers atakipiga dhidi ya Mansfield…

Read More