Admin

Waziri Mkuu Asisitiza Amani, Maadili Na Ushirikiano Na Taasisi Za Dini – (Picha +Video)

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini katika kulinda amani, kuimarisha maadili na kuchochea maendeleo ya Taifa. Dkt. Mwigulu amesema hayo leo Jumapili (Machi 15, 2026) wakati akitoa salamu katika Ibada iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mpanda Mjini, Dayosisi ya…

Read More

Ceasiaa yaongeza nguvu benchi la ufundi

INAELEZWA Ceasiaa Queens imemwongeza aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Alliance Girls, Sultan Juma kukiongoza kikosi hicho kuelekea mzunguko wa pili wa Ligi ya Wanawake. Kabla ya kuifundisha Alliance Sultan alihudumu kwenye kikosi cha Geita Queens lakini timu haikufanya vizuri ikashuka daraja. Chanzo kililiambia Mwanaspoti Sultan amesajiliwa kama kocha mkuu kuchukua nafasi ya Ezekiel Chobanka ambaye…

Read More

Simba yatambulisha mshambuliaji | Mwanaspoti

KAIMU kocha mkuu wa Simba Queens, Mussa Hassan ‘Mgosi’ amesema kwa sababu ya majeruhi, walikuwa na uhitaji wa mshambuliaji dirisha dogo. Simba imemtambulisha mshambuliaji kutoka Camerron, Ernestine Heutchou ukiwa ni usajili pekee wa waliofanya kipindi cha dirisha dogo na anaungana na nyota wengine watatu katika eneo hilo ambao ni Jentrix Shikangwa ambaye ni mfungaji bora…

Read More

Jinyakulie Samsung A26 Mpya kwa Kucheza Super Heli

Global Publishers March 15, 2026 0 Comments Katika ulimwengu wa michezo ya kubahatisha, kila mchezaji hutafuta si tu burudani, bali pia ushindi wa maana. Na sasa, Meridianbet imekuja na ofa ya kipekee yenye msisimko na matarajio makubwa, nafasi ya kushinda simu mpya kabisa ya Samsung Galaxy A26 kwa kucheza mchezo wa Super Heli. Super Heli…

Read More

Mwalimu wa Kiingereza wa Diamond na Harmonize, Allen Ngonyani Afariki

Global Publishers March 15, 2026 0 Comments Mwalimu aliyewasaidia mastaa wakubwa wa muziki wa Bongo Fleva, akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize na Rayvanny, kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha, Allen Ngonyani, amefariki dunia mapema asubuhi ya leo katika Hospitali ya Geza, Kigamboni, jijini Dar es Salaam, alikokuwa anapatiwa matibabu. Akizungumza na Global TV Online, mmoja kati ya ndugu…

Read More

Kauli hii haitolewi na mwanamume wa kweli

Kuna kauli siku hizi imekuwa maarufu sana mitandaoni na hata kwenye vijiwe vya kahawa: “Natafuta mke mwenye kazi, anisaidie maisha.” Ukiisikia mara ya kwanza unaweza kudhani ni kauli ya maendeleo, usawa wa kijinsia na mipango ya kisasa ya ndoa. Lakini ukiichambua vizuri, unaweza kubaini kuna harufu fulani ya uvivu iliyojificha nyuma ya maneno hayo matamu….

Read More

Ukimya wenu sawa na sumu kwenye ndoa

Ukimya katika ndoa ni moja ya sumu kubwa inayoweza kuharibu uhusiano wa wawili walioamua kushiriki maisha pamoja. Kwa wengi, ukimya huanza kama njia ya kuepuka mabishano au maumivu ya kihisia, lakini kwa muda, ukimya huo huo hugeuka kuwa kizuizi cha mawasiliano, chanzo cha machungu, na mwishowe, ufa mkubwa unaoweza kuvunja ndoa. Pale wenza wanaposhindwa kuzungumza,…

Read More

FCC yatoa elimu kwa wananchi wa Chalinze

Maafisa wa kulinda walaji kutoka Tume ya Ushindani (FCC) wametoa elimu kwa wananchi wa Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani kuhusu haki na wajibu wa mlaji, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumlinda Mlaji duniani yanayotarajiwa kufanyika Machi 31, 2026. Elimu hiyo imelenga kuwajengea wananchi uelewa kuhusu namna ya kutambua bidhaa na…

Read More