DC NYAMWESE AHIMIZA UMOJA NA MSHIKAMANO WANANCHI WA HANDENI
Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amewahimiza wananchi wa wilaya hiyo kuendelea kudumisha umoja, mshikamano na utamaduni wa kusaidiana katika jamii, hususan katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu ya Eid al-Fitr. Wito huo ameutoa wakati wa hafla maalumu ya Iftar iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Handeni, hafla…