Mkataba mpya wa Marekani waanza kuing’ata Kenya
Dar es Salaam. Mahakama ya Kenya imesitisha utekelezaji wa mkataba wa msaada wa afya wenye thamani ya Dola 2.5 bilioni za Marekani (Sh6.13 trilioni) uliosainiwa na Marekani wiki iliyopita, kutokana na hofu kuhusu faragha ya data. Hatua hiyo inatokana na kesi iliyofunguliwa na kundi la watetezi wa haki za watumiaji likitaka kuzuia kile kinachodaiwa kuwa…