Admin

JAMIIFORUMS YAFUNGIWA KWA SIKU TISINI

 :::::: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha kwa muda wa siku 90 leseni ya huduma za maudhui mtandaoni iliyokuwa inamilikiwa na kampuni ya Vapper Tech Limited, wamiliki wa jukwaa maarufu la JamiiForums, baada ya tuhuma za kuchapisha maudhui yanayodaiwa kupotosha na kudhalilisha viongozi wa Serikali.  Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Septemba 6, 2025 na…

Read More

Morocco: Wale Niger tutamalizana nao vizuri tu

KOCHA wa timu ya Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema kikosi hicho kina nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika mechi ya kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Niger itakayopigwa Septemba 9, kwenye Uwanja wa New Amaan Zanzibar. Kauli ya kocha huyo inakuja baada ya timu hiyo kushindwa kuwika juzi ugenini kufuatia kulazimishwa sare…

Read More

MKURUGENZI WA JAMIIFORUMS MAXENCE MELLO AOMBA KUJIUZULU UJUMBE WA TUME YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI

:::::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, @jamiiforums Maxence Melo, ameomba Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya kujiuzulu ujumbe wa Bodi katika Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi.  Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijami wa Instagram wa Melo @macdemelo amechapisha taarifa inayosomeka “Leo, Septemba 06, 2025 nimemuandikia rasmi Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari juu…

Read More

MBETO AMVAA OMO AKIMTAKA AACHE MAKELELE YAKE

 :::::::: Na Mwandishi Wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi kimesema kwa mujibu wa Sheria hakuna chama chochote cha Siasa ,Vyombo vya habari au Taasisi yoyote yenye Mamlaka ya kutangaza matokeo ya Uchaguzi bila idhini ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC). Pia chama hicho kimesisitiza kuwa Uchaguzi katika nchi yoyote duniani , huongozwa kwa kanuni na taratibu…

Read More

Ayelifunga hat-trick aichimba mkwara Polisi Kenya

MSHAMBULIAJI wa Ethiopian Coffee, Amanuel Admassu ambaye alipachika mabao matatu ‘hat-trick’ ya kwanza kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame, ameichimba mkwara Kenya Police ambayo watakutana nayo katika mechi ya mwisho ya hatua ya makundi. Admassu alipachika mabao hayo, akisaidia Ethiopian Coffee kuibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Garde Cotes ya Burundi katika…

Read More

Dk Mwinyi arudisha fomu ZEC, aeleza matumaini yake

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amerejesha fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi hiyo katika ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akieleza matumaini yake ya kuteuliwa kuwania nafasi hiyo. Dk Mwinyi, Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi anayemaliza muda wake, alikuwa wa kwanza kuchukua fomu…

Read More

Mafuwe aahidi soko la kisasa kwa wafugaji wa Kia

Hai. Mgombea ubunge wa Jimbo la Hai kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Saashisha Mafuwe, ameahidi kutumia ushawishi na mahusiano yake ndani ya Serikali kuhakikisha soko la mnada wa mifugo lililopo katika eneo la Mijohoroni, Kata ya Kia, linaboreshwa na kujengwa kwa viwango vya kisasa. Amesema lengo la maboresho hayo ni kuwawezesha wafugaji kuuza mifugo yao…

Read More

TCRA yaifungia JamiiForums miezi mitatu, sababu yatajwa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha kwa muda wa siku 90 leseni ya huduma za maudhui mtandaoni iliyokuwa inamilikiwa na kampuni ya Vapper Tech Limited, wamiliki wa jukwaa maarufu la JamiiForums, baada ya tuhuma za kuchapisha maudhui yanayodaiwa kupotosha na kudhalilisha viongozi wa Serikali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Septemba 6,…

Read More