Admin

Uhamisho na vifo vya raia vinaongezeka katika eneo lote – Masuala ya Ulimwenguni

© UNICEF/Ibarra Sánchez Nyumba zilizoharibiwa kusini mwa Lebanon. (picha ya faili) Ijumaa, Machi 13, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Kuongezeka kwa uhasama katika Mashariki ya Kati kunaendelea kusababisha vifo vya raia, kuhama kwa watu wengi na kuongezeka kwa mahitaji ya kibinadamu. Mapigano katika mpaka wa Israel-Lebanon yameongezeka, huku mamilioni ya watu katika eneo hilo…

Read More

UN Yazindua Rufaa ya Kibinadamu ya Dola Milioni 300 kwa Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

Mnamo tarehe 5 Machi, maelfu ya watu, wakiwemo watoto wengi, walikimbia makazi yao kusini na vitongoji vya kusini mwa Beirut, huku wengi wakikusanyika mitaani au kujaribu kufikia maeneo salama. Watoto ni miongoni mwa walioathirika zaidi huku familia zikikabiliwa na kuhamishwa, kutokuwa na uhakika na ufikiaji mdogo wa huduma muhimu. Credit: UNICEF Lebanon na Naureen Hossain…

Read More

Dau Dogo, Zawadi Kubwa Samsung A26 Inakusubiri Meridianbet

JE unajua kuwa kwa dau dogo tuu unaweza kujiweka kwenye nafasi ya ushindi na wakali wa ubashiri Meridianbet ambapo kupitia promosheni ya Beti Online unaweza ukaondoka na Samsung A26. Weka dau lako kuanzia 5000 na ubashiri hapa. Meridianbet inaendelea kuwa kinara katika kutoa promosheni zenye thamani halisi kwa wachezaji wake. Kupitia kampeni yake mpya, kampuni…

Read More

Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali, Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye Futari aliyowaandalia pamoja na Viongozi mbalimbali, tarehe 13 Machi, 2026. Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Chakechake, wakiwa kwenye Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu…

Read More

Sh14.9 bilioni kujenge madaraja mawili Ileje

Ileje. Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya amemtaka mkandarasi kutoka kampuni ya Jasco anayejenga daraja la Kabalisi na mkandarasi kutoka kampuni ya Gemen anayejenga daraja la Sange kukamilisha miradi hiyo kufikia Machi 30, 2026. Ujenzi wa madaraja hayo yanatarajia kugharimu jumla ya Sh14.9 bilioni  ambapo inadaiwa pindi yakikamilika yataondoa adha kwa wananchi ya kuvuka kwenda…

Read More

Wataalamu wa maabara wajengewa uwezo kukabili kipindupindu

Dar es Salaam. Serikali kupitia Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii imejipanga kuimarisha ufuatiliaji na kuwajengea uwezo wataalamu wa afya nchini ili kuboresha utambuzi wa haraka wa kipindupindu, hatua itakayosaidia kudhibiti ugonjwa huo kabla haujasambaa. Hayo yamebainishwa Machi 13, 2026 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa maabara hiyo, Ambele Mwafulango, wakati akifunga mafunzo…

Read More

Polisi mbeya kudhibiti madereva wasio na leseni

Mbeya.  Ili kumaliza tatizo la ajali mkoani Mbeya, Jeshi la Polisi limesema litaanzisha operesheni maalumu kuwabaini na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya waendesha vyombo vya moto wasio na leseni. Hatua hii inakuja kufuatia kushirikiana na Chuo cha Ufundi Stadi (Veta) mkoani humo kuanzisha mafunzo ya udereva wa awali yatakayodumu kwa mwezi mmoja. Mkoa wa…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAMPA TANO RAIS SAMIA KWA MAKUMBUSHO YA JIOPAKI YA NGORONGORO LENGAI

……………….. Na Sixmund Begashe, Karatu Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imetaka Makumbusho mpya ya Urithi Jiopaki iliyopo katika mradi wa Jiopaki ya Ngorongoro Lengai Wilayani Karatu kutumika kama zao jipya la utalii litakaloongeza idadi ya siku kwa wageni wanaotembelea vivutio vya utalii hapa nchini.  Maelekezo hayo yametolewa na Mwenyekiti wa…

Read More