Admin

Joe master balozi mpya Sportpesa

KAMPUNI ya SportPesa imemtangaza mchekeshaji, Joe Master kuwa Balozi mpya kutangaza bidhaa za kampuni hizo. Joe Master analeta uzoefu na ujuzi mkubwa wa tasnia ya sanaa, utakaosaidia kukuza kampuni na bidhaa za Sportpesa. Akizungumza na Wanahabari jana jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa SportPesa, Sabrina Msuya, alisema; “Tunafuraha kuwa…

Read More

Dk Mwinyi azindua bohari ya gesi Zanzibar

Unguja. Wakati Zanzibar ikizindua bohari ya kwanza ya kupokea na kusambaza gesi, Rais Hussein Mwinyi amewataka wananchi kuondokana na matumizi ya mkaa na kuni.  Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Juni 27, 2024 alipozundua bohari hiyo eneo la Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja chini ya Kampuni ya Oryx Gas Zanzibar Ltd. Amesema hatua hiyo…

Read More

Bingwa Taifa Cup kuvuta Sh 7Milioni

BINGWA wa mashindano ya CRDB Taifa Cup kwa upande wa wanaume na wanawake atazawadiwa kila moja Sh million 7. Hayo yalisemwa na Meneja wa Kanda ya Kati wa beki hiyo, Chabu Mishwaro mjini Dodoma wakati mashindano hayo yakishika kasi kwenye viwanja vya Chinangali,  kwa upande wa wanaume na wanawake. Mishwaro alisema, washindi wa pili kwa…

Read More

SLOTI YA CRAZY TIME KASINO INAKUFANYA USHINDE!!

*Sloti ya Crazy Time Ongeza mzuka wa utajiri kupitia sloti ya Crazy Time, moja kati ya mchezo wa kasino ya mtandaoni unaofanya poa sana, washindi wanapatikana kila siku tena kirahisi kabisa, Jisajili Meridianbet kasino uzungushe gurudumu la ushindi. Sloti ya Crazy Time kama kawaida ya michezo mingi ya slots una bonasi 4 za kukata na…

Read More

ATCL sasa kufika mpaka Oman

Katika kutanua wigo wa safari zake za kimataifa, Kampuniya Ndege Tanzania (ATCL) iko kwenye maandalizi yakuanzisha safari za moja kwa moja kuelekea Muscat nchini Oman. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Ladislaus Matindi alisema haya baada yakukutana na Balozi wa Oman nchini Mhe. Saud bin HilalAlshaidani tarehe 26 Juni 2024 katika Ofisi…

Read More

UKIWA NA NAMBA YA NIDA UNAWEZA KUFUNGUA AKAUNTI YA EQUITY

  SEKTA ya huduma za fedha ni miongoni mwa sekta zinazokua kwakasi hapa nchini, huku ujumishaji wa watu katika huduma hizo muhimu za kiuchumi ukiongezeka. Katika kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali za kuhakikisha Tanzania inaendana na Mapinduzi ya Kiuchumi kwa kuhakikisha wananchi wanajiunga na kutumia mifumo rasmi ya kibenki, Benki ya Equaity imezindua rasmi…

Read More