Admin

Yanga yaruhusiwa kusajili baada ya kumlipa Kambole

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), limeindolea Klabu ya Yanga zuio la kusajili wachezaji. Yanga ilikumbana na rungu la kufungiwa na FIFA ikikabiliwa na kesi mbili, baada ya kufanya makosa ya kwenye mfumo wa usajili kwa kushindwa kukamilisha taarifa muhimu za mmoja wa wachezaji wake wa zamani kabla ya kuweka sawa na kuondolewa adhabu hiyo. Kesi…

Read More

Mbowe, Semu wachaguliwa kuiongoza TCD

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD). Sambamba na Mbowe, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa kituo hicho. Mbowe anashika nafasi hiyo akimrithi, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba…

Read More

Idara ya Ujasusi yaifelisha serikali ya Kenya – DW – 26.06.2024

Naibu rais wa Kenya Rigathi Gachagua amemtolea wito mkuu wa intelijensia nchini mwake Nurdin Haji ajiuzulu na awajibishwe kutokana na maafa yaliyotokea nchini Kenya yaliyofungamana na maandamano ya kupinga muswada wa fedha wa mwaka 2024. Kulingana na Gachagua idara ya ujasusi nchini Kenya haikumpa rais ushauri muafaka kwamba Wakenya hawakuutaka mswada huo wa fedha. Soma pia: Ruto auondoa…

Read More

LHRC yadai bajeti ya 2024/25 haijagusa maendeleo ya wananchi

Dar es Salaam. Wakati Bunge la Jamhuri ya Muungano likipitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema haijagusa maisha ya wananchi. LHRC imesema bajeti hiyo imejikita zaidi kwenye matumizi ya kawaida kuliko miradi ya maendeleo, huku ikitoa mapendekezo ambayo wanaamini yakifanyiwa…

Read More

Watoto 10 kwa siku wapoteza miguu Gaza

Geneva, Uswisi. Katika hali ya kusikitisha inaelezwa watoto 10 kwa siku wanapoteza mguu mmoja au yote wawili katika vita vinavyoendelea kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas, huko Gaza. Akitoa ripoti hiyo, Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalosaidia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) Philippe Lazzarini, amesema kwa takwimu hizo karibuni watoto 2,000 wamepoteza miguu…

Read More

Hoja saba zapata majibu Bunge likipitisha bajeti

Dodoma. Sh49.35 trilioni za bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025 zimeidhinishwa rasmi na Bunge, miongoni mwa wanufaika wakiwa wakandarasi wa ndani na wastaafu waliopunjwa kutokana na kikokotoo kipya. Serikali kwa mwaka mpya wa fedha unaoanza Julai mosi, itashughulikia ‘wapigaji’ serikalini kwa kuzungumza na vyombo vinavyohusika na maadili, huku suala la upungufu wa sukari…

Read More