Admin

Kamati ya bunge yahimiza kasi maboresho bandari ya Tanga

📍Yasifu uwekezaji wa shilingi bilioni 429 NA MASHAKA MHANDO, Tanga Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiashauri Serikali kuongeza kasi ya utatuzi wa changamoto za miundombinu wezeshi katika Bandari ya Tanga, ili kuendana na kasi ya ongezeko la shehena na meli kubwa zinazoingia bandarini hapo kufuatia maboresho makubwa yaliyofanyika. Ushauri huo umetolewa Leo Machi…

Read More

KATIBU TAWALA SINGIDA ‘AWAFUNDA’ WATUMISHI WA TARURA

‎Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Dkt. Fatuma Mganga amewataka watumishi wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Singida kutambua kuwa sekta ya barabara ni kiungo muhimu cha maendeleo ya sekta nyingine kama elimu, afya na uchumi, hivyo wanapaswa kutekeleza majukumu yao kwa bidii na weledi ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora….

Read More

DC MSANDO AKABIDHI MAGARI MAWILI TANESCO

MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando amesema amekabidhi magari mawili kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ikiwa ni muendelezo wa jitihada zinazokufanywa na serikali katika kuhakikisha inaimarisha miundombinu na kuongeza ufanisi na uhakika wa upatikanaji wa huduma ya nishati ya umeme nchini. Msando amekabidhi magari hayo leo wilayani Ubungo mkoani Dar es Salaam, kwa…

Read More

Mahakama Kuu yahalalisha Tume ya matukio ya Oktoba 29

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeidhinisha uhalali wa  Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya  Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, baada ya kutupilia mbali shauri lililokuwa likipinga uhalali wake. Uamuzi huo umetolewa leo Ijumaa, Machi 13, 2026 na Jaji Awamu Mbagwa, aliyesikiliza…

Read More

Rais Samia Atoa Pole Vifo, Ajali Ziwa Tanganyika Mkoani Kigoma

Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Simon Nyakoro Sirro, kufuatia vifo vilivyotokana na ajali mbili tofauti zilizotokea asubuhi ya Machi 13, 2026 katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu, ajali ya kwanza ilihusisha boti iliyokuwa imewabeba watumishi wa afya waliokuwa wakisafiri kutoka…

Read More

Ripoti ya Kerry ya Taste Charts 2026 Yaoyesha Ladha za Tangawizi, Ukwaju na Mango Chilli Kinara Mabadiliko ya Ladha Barani Afrika

NAIROBI, KENYA. Kampuni ya Kerry Group, kinara wa kimataifa katika masuala ya ladha na lishe, imezindua ripoti ya Kenya 2026 Taste Charts, ikionyesha mabadiliko makubwa katika chaguo za ladha za watumiaji barani Afrika. Ripoti hizi mpya, zinazohusisha nchi 78 barani Afrika zikiwemo Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, na Zambia, zinaonyesha kuwa watumiaji wa Afrika sasa wanazidi kuhama kutoka kwenye ladha za kawaida za vyakula…

Read More

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MABORESHO YA BANDARI YA TANGA

Na Oscar Assenga,TANGA Kamati ya kudumu ya Bunge ya miundombinu leo imefanya ziara ya kutembelea Bandari ya Tanga huku ikiridhinshwa na uboreshaji wa miundombinu katika Bandari ya Tanga hatua inayoonesha mabadiliko ya kiutendaji ikiwemo ongezeko la shehena za mizigo. Hayo yalisemwa leo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Profesa Joyce Ndalichako wakati wa ziara hiyo katika…

Read More