Admin

TANZANIA NI KIELELEZO CHA AMANI NA MSHIKAMANO WA KIJAMII BARANI AFRIKA NA DUNIANI – KATIBU MKUU UMOJA WA MATAIFA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema Tanzania imeendelea kuwa kielelezo cha amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na Duniani, akisisitiza kuwa dunia inalitazama Taifa hilo kama mfano wa kuigwa. Guterres ameyasema Desemba 14,2025, alipokuwa akipokea ujumbe maalumu wa Tanzania uliotoka kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na kuwasilishwa na Waziri wa…

Read More

Rushwa barabarani bado mwiba | Mwananchi

Dar es Salaam.  Licha ya hatua na marufuku zilizowahi kutolewa na Serikali dhidi ya rushwa barabarani, vitendo hivyo vimeendelea kuota mizizi kwa askari wa usalama barabarani na madereva. Madereva wa magari hasa ya biashara wanakiri kutoa rushwa kwa askari hao wakisema imeshageuka kuwa mfumo wa maisha ya kazi yao na kuna athari ukiiepuka kuliko kujihusisha…

Read More

Serikali, kampuni za simu wabanwa kuzima intaneti

Dar es Salaam. Hatua ya Serikali kuzima Intaneti kwa siku saba kuanzia Oktoba 29, 2025 inazidi kupingwa baada ya Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na wanaharakati wamefungua kesi ya kikatiba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Hii inakuwa kesi ya pili baada ile iliyofunguliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)…

Read More

Dhamana ya Mwambe anayeshikiliwa polisi kusikilizwa leo

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi, Dar es Salaam, Kisutu, leo Jumatatu, Desemba 15, 2025 inasikiliza shauri la maombi ya dhamana ya waziri wa zamani, Geofrey Mwambe anayeshikiliwa na Jeshi la Polisi, Dar es Salaam. Mwambe ambaye amewahi kuwa mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), mbunge wa Masasi, Mtwara (CCM), Waziri wa Nchi Ofisi…

Read More