Admin

Gomondi: Hii Singida bado sana!

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema licha ya ushindi wa timu hiyo wa mabao 2-1 dhidi ya Kenya Police katika mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame, bado kuna maeneo muhimu ambayo timu inahitaji kuboresha ili kuwa bora zaidi. Gamondi ambaye anatumia mashindano hayo kama sehemu ya maandalizi ya msimu ujao, alisema mechi hiyo…

Read More

Meridianbet Kuja na Meridian Bonanza Yenye Ushindi Mfululizo – Global Publishers

Katika zama hizi ambapo michezo ya kubashiri mtandaoni inazidi kuchukua nafasi kubwa kwenye burudani ya kidijitali, Meridianbet imezidi kujiimarisha zaidi kwa wateja wake kwani hivi sasa imeizindua Meridian Bonanza, mchezo wa kasino wa kisasa unaobeba msisimko, mikakati, na fursa za ushindi ambazo hazijawahi kushuhudiwa. Meridian Bonanza imeundwa kwa teknolojia ya kisasa inayoweka mchezaji katikati ya…

Read More

Morocco yafuzu Kombe la Dunia, Stars yabakiza mbili

Morocco imekuwa timu ya kwanza ya Taifa barani Afrika kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 nyumbani dhidi ya Niger jana, Septemba 5, 2025 huku Taifa Stars ikibakiza mechi mbili. Ushindi huo ambao Morocco imeupata katika Uwanja wa Prince Moulay Abdallah jijini Rabat, umeifanya ifikishe pointi 18…

Read More

Zoran amvuta Mavambo Libya | Mwanaspoti

BAADA ya aliyekuwa kiungo wa Simba, Debora Mavambo kuachana na timu hiyo aliyoitumikia kwa msimu mmoja aliyojiunga nayo Julai 6, 2024, kwa sasa mchezaji huyo anakaribia kujiunga na Asswehly ya Libya kwa mkataba wa miaka miwili. Mavambo aliyejiunga na Simba akitokea Mutondo Stars ya Zambia na kufunga bao moja tu katika Ligi Kuu Bara huku…

Read More

Raizin ataka 10 zaidi Bara

MSHAMBULIAJI wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema malengo aliyojiwekea msimu huu katika kikosi hicho ni kufunga zaidi ya mabao 10, huku akidai endapo atatimiza hayo itakuwa ni njia nzuri kwake kuwa na mwendelezo mzuri. Mshambuliaji huyo ambaye alikuwa sehemu ya kuirudisha Mtibwa Sugar katika Ligi Kuu Bara alimaliza Championship akiwa kinara wa upachikaji wa mabao…

Read More

Kipa aliyevunjika taya aanza mazoezi mepesi

KIPA wa Tabora United, Fikirini Bakari amerejea uwanjani baada ya kuwa nje akijiuguza kutokana na kudaiwa kuvunjika taya wakati akikiwasha katika mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga iliyowafunga mabao 4-0 wiki iliyopita katika Uwanja wa  Gymkhana jijini Dar es Salaam. Fikirini alisema daktari alimwambia afanye mazoezi mepesi ya kukimbia na kuepuka kukongana na watu, na…

Read More

Bado Watatu – 20 | Mwanaspoti

ALINIPENDA sana na mimi nilimpenda. Alikuwa mwaminifu kwangu na mimi nilikuwa mwaminifu kwake. Alikuwa akisafiri kwa wiki mbili au tatu na kuniacha. Sikuwa na ushawishi wowote wa mwanaume na niliamini huko alikokwenda na yeye hakushawishika na wasichana.Miongoni mwa marafiki zake Sufiani ambao alikuwa akifika nao pale nyumbani alikuwa jamaa mmoja aliyekuwa akiitwa Shefa. Shefa alikuwa…

Read More