Mahakama ya Rufani yabatilisha hukumu ya kifo, yaamuru kesi isikilizwe upya
Arusha. Mahakama ya Rufani ya Tanzania imebatilisha hukumu ya kifo iliyokuwa imetolewa dhidi ya Richard Bahati, baada ya kubaini kasoro kubwa za kisheria katika mwenendo wa usikilizwaji wa kesi hiyo. Mahakama imejiridhisha kuwa shahidi muhimu katika kesi hiyo, aliyekuwa mlalamikaji wa jaribio la mauaji, hakuelewa lugha ya Kiswahili ambayo ndiyo lugha ya Mahakama, huku rekodi…