Admin

Serikali yajitwisha kero za mabaharia Tanzania

Bagamoyo. Serikali ya Tanzania imesema itazifanyia kazi changamoto na fursa zinazowakabili mabaharia nchini. Miongoni mwa changamoto hizo ni nyenzo dhaifu za kusimamia mambo ya bahari yaani mbinu zisizo za wazi na zenye kuakisi wakati uliopo. Ukosefu wa sera na kanuni za ajira za ubaharia na kuwepo kwa mifumo kandamizi za uwajiri wa mabaharia hususan katika…

Read More

DKT.DIMWA: AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema Serikali inakopa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ya Wananchi wote na sio kwa maslahi ya watu wachache. Hayo ameyasema katika mwendelezo wa ziara yake wakati akizungumza na wanachama wa katika Tawi la CCM Mafufuni Jimbo la Bumbwini…

Read More

Daladala zote Dar ruksa kupeleka abiria ‘Sabasaba’

Dar es Salaam. Daladala za ruti zote jijini hapa zimeruhusiwa kupeleka abiria katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya 48 maarufu Sabasaba yanayotarajiwa kuanza Juni 28 mwaka huu. Hayo yameelezwa kwenye taarifa ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) iliyotolewa leo Juni 25, 2024 katika ukurasa wake wa Instagram. Akizungumza na Mwananchi kuhusu…

Read More

Kapombe apewa mwaka mmoja Simba

SIMBA imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja beki wake wa kulia, Shomari Kapombe ambao ndani yake una kipengele cha akifanya vizuri ataongezewa mwingine. Mwanaspoti limepata taarifa za ndani kuhusiana na Simba kumsainisha Kapombe, hivyo wakati wowote kuanzia sasa klabu hiyo itatangaza kuendelea naye msimu ujao wa 2024-2025. “Tumemalizana na Kapombe, hivyo bado ni mchezaji halali wa…

Read More

Wanaume wa Kiorthodox waandikishwe jeshini – DW – 25.06.2024

Uamuzi huo wa mahakama umetolewa Jumanne na kuamua kwa kuwa hakuna sheria inayotofautisha kati ya wanafunzi wa seminari ya Kiyahudi na wanafunzi wengine walioandikishwa kujiunga na shule, mfumo wa utumishi lazima wa kujiunga na jeshi la Israel, unapaswa kutumika kwa Waorthodox wote kama vile raia wengine wowote. Awali, wanaume wa madhehebu ya Kiorthodox walikuwa wanaruhusiwa…

Read More

Fawe Tanzania yawanoa walimu tarajali Butimba usawa wa kijinsia

Na Mwandishi Wetu, Mwanza ILI kuhakikisha usawa wa kijinsia unazingatiwa kwa wanafunzi wa kike na kiume kuanzia elimu ya msingi mpaka chuo, Shirika la Wanawake Waelimishaji Afrika (Fawe) tawi la Tanzania limewajengea uwezo walimu tarajali katika mbinu za ufundishaji na ujifunzaji zinazozingatia usawa wa kijinsia. Mafunzo hayo ya siku tatu yamefunguliwa leo Juni 25, 2024…

Read More