Admin

Kigogo Baraza la Usalama wa Taifa afariki dunia

Dar es Salaam. Mratibu Msaidizi Baraza la Usalama wa Taifa, Brigedia Jenerali Vitalis Chakila amefariki dunia Jumapili Juni 23, 2024 akiwa na miaka 59. Taarifa za kifo cha Chakila zimetolewa leo Jumanne Juni 25, 2024 kupitia taarifa kwa umma iliyosainiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), Luteni…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Zahera atua kwa Lomalisa Mutambala

BAADA ya kuitumikia Yanga kwa misimu miwili, beki Mkongomani, Joyce Lomalisa anatajwa kutua Namungo FC kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho msimu ujao. Lomalisa awali alikuwa anatajwa kujiunga Simba lakini mambo yakaenda tofauti na sasa inaelezwa Namungo inayonolewa na Kocha Mkongomani, Mwinyi Zahera ina mpango wa kumpa mkataba wa miaka miwili staa huyo…

Read More

STAMICO yajipanga kuwawezesha wachimbaji wadogo wa madini

Na Mwandishi Wetu,Mtanzania Digital Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeelezea Mipango yake ikiwemo kuendelea kuwawezesha Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini, huku msisitizo ukiwekwa kwenye ununuzi wa mitambo na huduma za uchorongaji ili kuwasaidia kupata taarifa za miamba, hatimaye wachimbe kwa tija. Hayo yalielezwa Juni 24, 2024 na Meneja Uwezeshaji Uchimbaji Mdogo kutoka STAMICO Bw….

Read More

Wateja Dar wahamia Soko la Tandika

Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya maduka kufungwa katika Soko la Tandika, wachuuzi wa bidhaa ndogondogo na wateja wamehamia sokoni hapo. Maduka hayo yamefungwa kutokana na mgomo wa wafanyabiashara ulioingia siku ya pili leo Juni 25, 2024 ukianzia eneo la Kariakoo. Katika Soko la Tandika kumekua na msongamano wa watu, kwa kiasi kikubwa wakiwa…

Read More

Waandamanaji kadhaa wauwawa Kenya – DW – 25.06.2024

Sehemu ya maeneo ya bunge nchini Kenya yamechomwa moto wakati maelfu ya waandamanaji wanaopinga mswada tete wa fedha, walipovamia katika maeneo hayo. Wabunge waliokuwa ndani ya bunge, inasemekana walitoroshwa na kupelekwa sehemu salama. Hatua hiyo ya waandamanaji kuvamia maeneo ya bunge ni shambulizi la moja kwa moja kwa serikali ambalo halijawahi kuonekana kwa miongo kadhaa. …

Read More

Muasisi wa WikiLeaks hatimae aondoka London alikokuwa jela. – DW – 25.06.2024

Mwasisi wa mtandao wa WikiLeaks, uliotumika  kufichuwa siri kubwa kubwa za serikali za mataifa mbali mbali duniani, Julian Assange hatimae ameachiwa huru kwa dhamana, Jumatatu. Assange aliachiwa huru kwa dhamana kutoka jela yenye ulinzi mkali ya  Kusini Mashariki mwa London jana Jumatatu. Mkewe Stella Assange akionekana kushusha pumzi alisema hivi sasa mumewe ni mtu huru, …

Read More