Admin

Makontena 25 ya vileo yaendelea kushikiliwa bandarini

Unguja. Zaidi ya miezi mitatu sasa makontena 25 ya vileo yameendelea kushikiliwa katika Bandari ya Malindi, Zanzibar. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Bodi ya Vileo Zanzibar kuliagiza Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC) kuzuia uingizaji wa bidhaa hizo kwa madai wahusika hawana vibali vya kuingiza bidhaa hiyo. Sakata la uingizaji pombe Zanzibar lilibuka Februari, 2024 baada…

Read More

KANISA LA KLPT LAONGOZA IBADA YA SHUKRANI YA KUSTAAFU KWA ASKOFU DKT. TIBANENASON, WAASWA KUWA WAKWELI

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv KANISA La Pentekoste Tanzania (KLPT), leo Juni 21, 2024 limeongoza ibada kwaajili ya kumuaga na kumpongeza, Mwangalizi Mkuu Mstaafu wa kanisa hilo, Askofu Dkt. Philemon Tibanenason ambaye ametimiza miaka 58 ya uhudumu katika kanisa la Mungu hapa nchini. Mchungaji Dkt. Philemon Tibanenason alianza kulitumikia kanisa mara tuu baada ya kuoa…

Read More

DKT.DIMWA: DK.MWINYI AMEWASHIKA PABAYA ACT-WAZALENDO

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Jumbi katika ziara ya Wajumbe wa Sektetarieti ya Kamati Maalum ya NEC CCM Taifa Zanzibar. NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akivishwa sikafu na Vijana wa Hamasa baada ya kuwasili katika Ofisi za CCM Mkoa wa Magharibi iliyopo…

Read More

Waziri ataka Serikali, sekta binafsi kuchangamkia fursa za uchumi wa buluu

Bagamoyo. Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed amesema jitihada za makusudi zinapaswa kufanywa ili kuziendeleza fursa mbalimbali za uchumi wa buluu ambao haujaangaziwa. Amesema Serikali zote mbili za Tanzania Zanzibar,  zinapaswa kuzichangamkia kwa kushirikiana na sekta binafsi ili kuchochea maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Dk Khalid amesema…

Read More

TUCTA yaipongeza Serikali kuhusu Kikokotoo, yashauri maboresho yafanyike pia kwa Sekta Binafsi

  Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeipongeza Serikali kwa kuongeza kiwango cha malipo ya mkupuo ya Pensheni kwa Wastaafu kutoka asilimia 33 ya sasa mpaka 40 kwa wafanyakazi waliokuwa walipwa asilimia 50 kabla ya mifuko kuunganishwa na asilimia 35 kwa watumishi ambao walikua wakipokea asilimia 25 kabla mifuko hiyo kuunganishwa Pongezi hizo zimetolewa…

Read More

Ifakara walia na adha ya maji

Ifakara. Wananchi wa kijiji cha Mpanga kilichopo katika halmashauri ya mji wa Ifakara wapo hatarini kupata magonjwa ya kuhara na homa ya matumbo, kutokana na kutumia maji ya kisima yasiyokuwa safi na salama kwa matumizi ya binadamu. Maji hayo yenye mwonekano wa maziwa yamekuwa yakitumiwa na wananchi wa kijiji hicho hasa wa kitongoji cha Miwangani…

Read More

VODACOM OPEN LUGALO 2024 KUTIMUA VUMBI JULAI

MASHINDANO makubwa ya ‘Vodacom Open Lugalo 2024’ yanatarajiwa kutimua vumbi Julai 5,6 na 7 mwaka huu katika viwanja vya Lugalo, Dar es Salaam. Akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa klabu wa hiyo, Bregedia Jenerali Mstaafu, Michael Luwongo amesema mashindano hayo yatashirikisha klabu zote nchini. Luwongo amesema wachezaji wameanza kujisajili kwa kasi kwa…

Read More

TUCTA YAIPONGEZA SERIKALI KUHUSU KIKOKOTOO,YASHAURI MABORESHO YAFANYIKE PIA KWA SEKTA BINAFSI

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeipongeza Serikali kwa kuongeza kiwango cha malipo ya mkupuo ya Pensheni kwa Wastaafu kutoka asilimia 33 ya sasa mpaka 40 kwa wafanyakazi waliokuwa wanapokea asilimia 50 kabla ya mifuko kuunganishwa na asilimia 35 kwa watumishi ambao walikua wakipokea asilimia 25 kabla mifuko hiyo kuunganishwa. Pongezi hizo zimetolewa na…

Read More