RAIS SAMIA NA MGENI WAKE RAIS WA JAMHURI YA GUINEA-BISSAU MHE. EMBALÓ, WASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA MUONGOZO WA USHIRIKIANO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embaló, wakati wakishuhudia utiaji saini wa Mkataba wa Muongozo wa Ushirikiano baina ya Nchi mbili, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Juni, 2024. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…