Admin

RAIS SAMIA NA MGENI WAKE RAIS WA JAMHURI YA GUINEA-BISSAU MHE. EMBALÓ, WASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA MUONGOZO WA USHIRIKIANO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embaló, wakati wakishuhudia utiaji saini wa Mkataba wa Muongozo wa Ushirikiano baina ya Nchi mbili, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Juni, 2024. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…

Read More

Unyanyapaa bado kikwazo kwa wanaoishi na VVU

Unguja. Baraza la Taifa la Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (Nacopha) na Jumuiya ya Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi Zanzibar (Zapha+), wameingia makubaliano kuunganisha nguvu katika kukabiliana na changamoto zinazowakabili, ukiwamo unyanyapaa. Licha ya kuwapo mafanikio katika kukabiliana na watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), wameeleza bado wanakabiliwa na unyanyapaa katika jamii…

Read More

TBS Kanda ya Magharibi Kigoma yateketeza bidhaa hafifu

Na Mwandishi Wetu, Kigoma BIDHAA za aina mbalimbali zenye thamani zaidi ya sh.milioni 34 zimeteketezwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Magharibi Kigoma baada ya kukamatwa kupitia ukaguzi uliofanywa na maofisa wa TBS kwa kipindi cha kati Julai 2023 hadi Mei 2024. Akizungumza na waandishi wa habari jana mkoani Kigoma wakati wa kuteketeza…

Read More

Walioshindwa kuripoti JKT ruksa kwenda kambi za karibu

Dodoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limesikia kilio cha wazazi na walezi wa wahitimu wa kidato cha sita ambao waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya kwa mujibu wa sheria,  lakini hawajaripoti baada kuwaruhusu kwenda kwenye kambi zilizo karibu na makazi yao. Hivi karibuni Mkuu wa JKT,  Meja Jenerali, Rajabu Mabele alitoa wito kwa wahitimu wa kidato…

Read More

Rais Samia ataja maeneo ya ushirikiano Tanzania, Guinea Bissau

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania na Guinea Bissau,  zimekubaliana kushirikiana katika kilimo cha korosho, afya, elimu, ulinzi na usalama. Sambamba na makubaliano hayo, pia nchi hizo mbili zimesaini mkataba wa makubaliano wa ushirikiano katika sekta ya uwekezaji na biashara. Hiyo yameelezwa leo Jumamosi, Juni 22, 2024 na Rais Samia Suluhu Hassan, alipozungumza na wanahabari…

Read More

MBUNGE KISHIMBA AITAKA SERIKALI KUREKEBISHA BARABARA MBOVU ZIKIZOPO KAHAMA MJINI

Na Janeth Raphael- MichuziTv – Bungeni Dodoma Mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini Mhe. Jumanne Kishimba ameiomba serikali kuimarisha miundo mbinu ya barabara katika jimbo lake Kahama Mjini Mkoani Shinyanga ambayo imeharibika kwa kiasi kikubwa ili kuchochea wafanyabiashara kuendelea kulipa kodi na kufanya biashara katika mazingira rafiki. Mbunge huyo ametoa kauli hiyo Bungeni Jijini Dodoma…

Read More

MSONDE AWATAKA WARATIBU WA TASAF KUSIMAMIA MRADI KWA WELEDI

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka wasimamizi wa Mradi wa Kupunguza Umaskini TASAF awamu ya nne kusimamia Mradi huo kwa weledi na kuhakikisha utekelezaji wa mradi huo unakuwa kama ilivyokusudiwa. Dkt. Msonde ametoa maelekezo hayo mkoani Mwanza wakati akifungua kikao kazi cha mradi wa kupunguza umasikini awamu ya…

Read More