‘Ondoeni kodi asilimia 2 kwa wakulima’Mbunge Cherehani
*MBUNGE CHEREHANI – ONDOENI KODI ASILIMIA 2 KWA WAKULIMA* Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameiomba Serikali kuiondoa kodi ya asilimia 2 kwa wakulima wa mazao nchini suala ambalo linakwenda kuwaathiri na kuongeza gharama kubwa kwa wakulima. Akiongea Bungeni jijini Dodoma Mhe. Cherehani wakati akichangia Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha…